Tuesday, September 18, 2012
NILIKUWA BUSY NA SAFARI WAPENDWA - RELI YA KATI HII
Safari ya kuelekea Tabora ilianzia hapa........Nilikuwa sijasafiri kitambo na Train....nilipoambiwa zimeanza upya nikaona nisafiri na usafiri huu ingawa bado haujaboreshwa sana......nili enjoy...kunesa kwa sana
Haloooo....Ndiyo.....Ndo nataka nipande.....sawa....Asante sana
Happy Wife......
Nikiingiza Mizigo chumbani
Nikichagua upi unifaao
Gogo
Namba ya Behewa nililopanda
Jembe alikuwa sambamba kumsindikiza dada....MSHUA HAONEKANI PICHANI, alikuwa msindikizaji pia
Keep refreshing the Page....More photos zaja
Sunday, September 16, 2012
MSAFARA WA MBIO ZA MWENGE WAPATA AJALI RUKWA, KADHAA WAJERUHIWA NA KUKIMBIZWA HOSPITALI
Gari iliyokuwa imewabeba madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga katika msafara wa Mwenge ambayo ilipinduka jana katika kijiji cha Luwa na kujeruhi vibaya zaidi ya Madiwani watatu, hali iliyosababisha madiwani hao kukimbizwa hospitali ya mkoa mjini Sumbawanga. Picha na Mussa Mwangoka.
Mmoja kati ya madiwani wa Halmashauri ya Manispaa waliojeruhiwa vibaya na kukimbizwa katika hospitali ya mkoa mjini Sumbawanga, akipata huduma ya kwanza baada ya kunusurika kwenye ajali ya gari walilokuwa wakilitumia katika msafara wa Mwenge ambayo ilipinduka jana asubuhi katika kijiji cha Luwa. hakuna mtu aliyefariki dunia katika ajali hiyo. Picha na Mussa Mwangoka.
KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU, HONEST MWANOSSA AKIPANDIKIZA SAMAKI KATIKA MMOJA YA MABWAWA YALIYOPO ENEO LA KANKWALE JANA BAADA YA KUZINDUA MRADI WA UFUGAJI SAMAKI
Source: http://rukwayetu.blogspot.com
BRIGITER ALFRED ANYAKUA TAJI LA REDD'S MISS KINONDONI 2012
Mshindi wa shindano la Redds Miss Kinondoni Brigiter Alfred, akiwapungia mkono mashabiki walioshuhudia shindano hilo jijini Dar es Salaam jana, kulia ni mshindi wa pili Diana Hussein na mshindi wa tatu Irene David. Brigit pia anashikilia taji la Redds Miss Sinza 2012 huku Irene akishikilia taji la Miss Ubungo 2012. Pamoja na hayo Redd's Miss Kinondoni 2012 alijishindia taji la Miss Talent iliyokuwa umedhaminiwa na Perfect Lady Classic Saloon iliyopo Kinondoni jijini Dar na wamempa zawadi ya kupewa huduma kwa kipindi cha mwaka mzima
ndani ya Saloon yao.
Akivalishwa taji lake la Redd's Miss Kinondoni 2012.
Mkurugenzi wa Perfect Lady Classic Saloon, Ester Kiama ambao ndiyo
waliokuwa wamedhamini Redd's Miss Kinondoni Talent akitangaza zawadi
alizompatia mrembo aliyeshinda, ambaye ni Brigiter Alfred (mrembo wa katikati).
Top 5 ya Redd's Miss Kinondoni 2012.
Huyu ni Redd'd Miss Kinondoni 2012 aliyejinyakulia taji la kuwa Miss Mwananyamara Hospitali ambao kazi yake kubwa ni kuhamasisha kuchangia mfuko wa akina mama.
Friday, September 14, 2012
BIBI WA MIAKA 86 ATISHA KWA MAZOEZI YA VIUNGO
WORLD'S OLDEST GYMNAST AGED 86 PERFORMS JAW-DROPPING ROUTINE ON PARALLEL BARS
HAPO SASA
WACHA WEEE
BIBI NOMA
NIMEKUKUBALI
NA HII PIA
SALUTE KWAKO BIBI
HONGERAAAAAAAAAAAAA
MAKOFI LAZIMA YAPIGWE
Thursday, September 13, 2012
WASHINDI WA REDD'S MISS KINONDONI WAZAWADIWA MAPAMBO YA MWAKA MZIMA NA PERFECT LADY CLASSIC SALOON, DAR
Mkuu wa Itifaki wa Miss Tanzania Albert Makoye akifungua mashindano ya Redd's Miss Kinondoni Talent, pembeni yake ni Ssebo ambaye ni mmoja kati ya mwanabodi wa Redd's Miss Kinondoni 2012 na alikuwa ni mshereheshaji katika shindano hilo lililofanyika katika hoteli ya JB Belmonte, iliyopo jengo la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Mashindano hayo yalidhaminiwa na Perfect Lady Classic Saloon iliyopo Kinondoni jijini Dar na wametoa zawadi kwa washindi watatu waliopatikana kwa kupewa huduma kwa kipindi cha mwaka mzima ndani ya Saloon yao. Shindano rasmi la kumsaka Redd's Miss Kinondoni linatarajiwa kufanyika Ijumaa tarehe Septemba 14, 2012 katika Ukumbi wa Cassa Complex uliopo Mikocheni, Dar.
Mshiriki namba 6, Irene akionyesha manjonjo yake katika kucheza.
Mshiriki namba 3, Nahma Saidi yeye aliambua kuonyesha mambo ya Pwani.
Mshiriki namba 2, Ester Musa alionyesha kipaji cha kuimba.
Mshiriki namba 1, akionyesha umahili wake wa kukata uno.
Mshiriki namba 4, Diana Hussein akionyesha jinsi ya kubuni vazi.
Brigitter Alfred mshiriki namba 9 alionyesha umahili wake katika nyimbo za kihindi.
WORK OPPORTUNITY IN MUMBAI INDIA
Work Opportunity in Mumbai India
I have a client request for one of his clubs in Mumbai, India. They require up to 5 big guys (and I emphasis the big) who must also be as black as you can find. Sorry to be so racist with that one but I am not sure if you aware but Indians look upon really black Africans as being super humans (cant think why!!!!) so use your skin colour as a guide and go darker. They must be able to handle themselves and a martial arts background would be useful. I need an idea as to whether you can get them for me on the following criteria;
1. Big guys ? 6ft plus and excellent physique ? as big and well built as you can find
2. English language a must
3. Ability to handle themselves within the law
4. Martial Arts background (boxing included)
5. Willing to work in Mumbai, India.
Client will organize work permits and visas and provide accomm
Contact in Tanzania:
Eddie Barzangy
Tel: +255 718 737 177
Email: eddiebarzangy@yahoo.co. uk
I have a client request for one of his clubs in Mumbai, India. They require up to 5 big guys (and I emphasis the big) who must also be as black as you can find. Sorry to be so racist with that one but I am not sure if you aware but Indians look upon really black Africans as being super humans (cant think why!!!!) so use your skin colour as a guide and go darker. They must be able to handle themselves and a martial arts background would be useful. I need an idea as to whether you can get them for me on the following criteria;
1. Big guys ? 6ft plus and excellent physique ? as big and well built as you can find
2. English language a must
3. Ability to handle themselves within the law
4. Martial Arts background (boxing included)
5. Willing to work in Mumbai, India.
Client will organize work permits and visas and provide accomm
Contact in Tanzania:
Eddie Barzangy
Tel: +255 718 737 177
Email: eddiebarzangy@yahoo.co.
Wednesday, September 12, 2012
Subscribe to:
Posts (Atom)