Showing posts with label Utalii kijijini. Show all posts
Showing posts with label Utalii kijijini. Show all posts

Friday, August 24, 2012

VIJIJI VYETU NI SEHEMU YA UTALII.....WACHECK JAMAA WALIVYOKUWA WAKITALII MAENEO YA KIANDA KIJIJI CHA MPUI SUMBAWANGA

Utalii kijijini Part I............Jan Peter, Theo Bense na Mwenzao
 Mshikaji akiwa busy maeneo ya shambani
 Pig/kitimoto anachungulia hapo kwenye tundu apate fresh air
 Watoto kama kawa wakiona/tukiona ngozi nyeupe zikiranda maeneo yetu twawatumbulia macho
Jamaa yuko speed na bag lake kama akienda kupanda mlima Kilimanjaro
Yap mdada ....whats up.......wenzako wanakuacha, chapa mwendo uwakute
 Walivutiwa pia na matanuri yetu ya kuchoma tofali.......kivutio hicho
 Kwenye makazi pia walienda
Kama kawa....camera zao huwa ziko on.......na ya kwetu ikawanasa lol
Photo credit kwa reporter wetu Veronica, shukraniiiiiiiii