Monday, November 17, 2014

WEEKEND ILIENDAJE WAPENZI

 Rafiki yangu alinitumia hizi picha akiwa Ziwa Malawi
 Wakati mwingine siyo lazima ukajichanganye kwenye mchanganyiko wa watu, kuenda sehemu tulivu kama hizi inakufanya urelax na mawazo yatulie kabisa
Inaonekana alii enjoy sana ......Ziwa limetuliiia

NAWATAKIA KAZI NJEMA NA UENDESHAJI MWEMA WA MAISHA YA KILA SIKU

Wednesday, November 12, 2014

HUKO TUENDAKO NA HAYA MATUMIZI YA PHOTOSHOP NA CAMERA 360 TUTATAFUTANA HASAA



Chinese women who are entering South Korea seeking skilled plastic surgeons are undergoing such transformative procedures that they are struggling to get past airport security on their way home

Monday, October 27, 2014

HOUSE GIRL AMCHOMA KISU MTOTO JICHONI NA KICHWANI : MUNGU TULINDE WANAO

Dada wa kazi (Housegirl), aliyetajwa kwa jina moja la Rachel, mkazi wa Tabata-Shule jijini Dar, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuchukua kisu jikoni kisha kumchomachoma nacho mtoto, Samwel John (4) anayeishi nyumba ya jirani.
Kwa upande wake House girl alipoulizwa ni kwa nini alifanya kitendo cha kinyama kiasi hicho alisema kuwa alikuwa akitamani kumtoa jicho mtoto huyo.
“Alisema kuna shetani au roho ilikuwa ikimtuma amng’oe macho mwanangu,” alisema baba wa mtoto huyo anayejulikana kwa jina la John.

source: EATV

MAMBO YA DIWALI DAY TAREHE 23/10/2014 HUKO INDIA BAADHI YA MAENEO WALISHEREHEKEA HIVI





 ASANTE SANA MACHUMU KWA MATUKIO YA PICHA HIZI...MAANA UNAONEKANA ULIVYOFURAHIA SIKU HII NA UKAWEZA KUCHORA MAUA NAMNA HIYO



SAFI SANA

Tuesday, October 21, 2014

HIGH BLOOD PRESSURE? YOU CAN'T BEAT EATING BEETROOT

Something that is good for us can also be bad for us. It may sound illogical, but it's why one week we can read that something is a universal panacea only to become a powerful carcinogen the next.
Take oily fish. It's full of good things such as long-chain omega-3 fatty acids, but also contains pollutants. How good or bad it is depends on who you are and how much you eat. (Check out the NHS Choices website for information on oily fish).
And what about the claims for 'superfoods' such as blueberries and goji berries? Read the smallprint of the research and inevitably it will say something like, 'at some unspecified point in the future the chemical in this superfood may provide benefit to some patients'.
That's fine, but all this means is that by now many of us have a healthy scepticism about the next claim to come along.
We start to suspect that quite apart from making the people who eat them hugely dull, foods that are 'good for us' may not be quite as good for us as we've been lead to believe.
So when beetroot hit the headlines a few years ago with claims about improved athletic performance and lower blood pressure, many probably dismissed them. I certainly did.