Thursday, June 28, 2012
TASWIRA MBALI MBALI KUTOKA BAGAMOYO
Mtaani Bagamoyo
Gorofa ni Gorofa haijalishi limejengwa kwa Style Ipi
TANU ilianza mwaka 54....hiyo TANU hiyo hiyo hiyo......naimba ule wimbo wa TANU mwaukumbuka??????
Jamni wale wanaotundikaga viatu kwenye nyaya za umeme sijui huwa wanawaza nini...kwanini wanaviweka huko juuu
Palm Tree Village
Vitu vya asili kwa wingii
Wateja wengi ndo mahala pao....zawadi nzuri zinapatikana humu
Pretty Cleopatra na Uncle Faraji...Mama Cleo hakuwa mbali
Nikijitwalia kinifaacho
Nikiwa na Mzee Alalaye akinipa mawili matatu kuhusu utengenezaji wa Mtumbwi
Anasema huu ukikamilika anauuza kuanzia Laki 3 na Nusu hadi Laki 4...ni mti wa Mkorosho huo
Wednesday, June 27, 2012
BIBI MZAA BABA WA LADY JAYDEE AFARIKI DUNIA - ULALE PEMA PEPONI BIBI
HABARI ZA MSIBA ZIMETUFIKIA USIKU WA LEO KWA MAJONZI TELE, UKIWA UMETOKEA HOSPITALI YA LUGALO
Msiba
hauzoeleki hata siku moja,mnapoondokewa mnahuzunika na mara nyingi
kulia...MUNGU alimbariki na kumpa miaka mingi duniani imefika wakati
kaona imetosha,twarudisha shukrani kwake Muumba,R.I.P Esther Mogaya Wa
Mankaba
RURAL & URBAN BLOG TUNATOA POLE KWA FAMILIA NZIMA KWANI NI WAKATI MGUMU MLIO NAO SASA, MUNGU AWAPE MOYO WA UJASILI MUWEZE KUHIMILI MIKIKI YA HUZUNI, KAZI YA MUNGU HAINA MAKOSA
Bishop resigns after being caught cavorting with woman on beach
The Vatican has accepted the resignation of an Argentine bishop who was caught cavorting with a blonde, bikini-clad woman on a Mexican beach.
Bishop Fernando Bargallo, 57, was forced to hand in his resignation after
photographs emerged this month showing him frolicking and embracing the
woman at a luxury resort in Mexico.
Bargallo, who led the Argentine
diocese of Merlo-Moreno outside Buenos Aires since May 1997, has reportedly
admitted to having "amorous ties" with the woman he is seen
embracing in the water, thought to be a divorced restaurant owner.
He had initially claimed she was just a longtime friend.
The news broke as the Vatican ousted the founder of an Italian mission for "serious
immoral behaviour," after it emerged he had sex with female
missionaries during a posting in South America.
Luigi Prandin, who founded the Villaregia Missionary Community, was ousted
along with co-founder, Maria Luigia Corona, who knew of the liaisons but
covered it up because she feared a scandal.
The scandals have raised fresh calls for priests to be allowed to marry.
Pope Benedict XVI has vigorously denied claims that abstention may have
contributed to sex abuse scandals, insisting repeatedly that celibacy is
central to the priesthood.
In April, he issued a rare condemnation of errant priests, slamming in
particular an "appeal to religious disobedience" launched by a
group of Austrian clerics in 2011, which argued for an end to priestly
celibacy.
Source: AFP
AJALI YA BASI YATOKEA ASUBUHI YA LEO
Bus la abiria(MUBARIKIWE)lenye namba za usajili T135ALR linalofanya safari zake kutoka Sumbawanga-Mbeya-Sumbawanga leo majira ya saa mbili asubuhi limepata ajali na kuchomoka tairi mbili za mbele.Basi hilo limegonga moja ya alama za barabari(kerbstone) eneo la Kianda kijijin kutokea Sumbawanga eneo ambalo kuna daraja namba moja linalojengwa na kampuni ya ujenzi wa barabara inayotengeneza barabara ya Laela-Sumbawanga..
Wananchi wakiwa wamekusanyika
Chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi wakati basi halina brake pia
uzembe wa dereva umechangia asilimia kubwa kwakuwa alikuwa overspeed
katika mteremko ambao mbele kuna daraja na Bahati nzuri kuna mashine
inayoitwa bulldozer ikasaidia kuizuia isitumbukie mtoni kama picha
inavyojieleza..Kama haitoshi huo ubichi karibu na basi ni mafuta ambayo
yalitaka kusababisha kulipuka kwa basi..
Mpaka tunatoka eneo la tukio hakuna abiria yeyote aliyepata matatizo na
polisi wa usalama barabarani kituo cha Mpui walikuwa ndo wanaelekea eneo
la tukio.
Ikumbukwe kuwa mwendo kasi katika barabara inayotengenezwa ni hatari
kwani haijapita hata wiki moja ambapo gari ya kampuni ya Kadji Lanji
inayobeba Bia kutoka Mbeya kuja Sumbawanga nayo ilipata ajali na
kusababisha hasara kubwa ambapo mpaka sasa dereva anashikiliwa na jeshi
la Polisi mkoa wa Rukwa.
Shukrani sana Reporter wetu wa Rural & Urban Veronica kwa habari hii
KONDA WA KIKE AKIWA MZIGONI......BASI LA SEGEREA - KIVUKONI
Akiwa kwenye seat kabla abiria hawajajaa
Kikazi zaidi
Akikusanya nauli
Safi sana
Akihesabu mapene atoe chenji
Akilonga jambo na dereva wake
Subscribe to:
Posts (Atom)