Thursday, June 28, 2012

KUPALILIA SHAMBA NI MUHIMU SANA

MAZINGIRA NA MAENEO HAYA YAMENIVUTIA SANA







TASWIRA MBALI MBALI KUTOKA BAGAMOYO

Mtaani Bagamoyo
Gorofa ni Gorofa haijalishi limejengwa kwa Style Ipi
TANU ilianza mwaka 54....hiyo TANU hiyo hiyo hiyo......naimba ule wimbo wa TANU mwaukumbuka??????
Jamni wale wanaotundikaga viatu kwenye nyaya za umeme sijui huwa wanawaza nini...kwanini wanaviweka huko juuu
Palm Tree Village
Vitu vya asili kwa wingii
Wateja wengi ndo mahala pao....zawadi nzuri zinapatikana humu
Pretty Cleopatra na Uncle Faraji...Mama Cleo hakuwa mbali
Nikijitwalia kinifaacho
Nikiwa na Mzee Alalaye akinipa mawili matatu kuhusu utengenezaji wa Mtumbwi
Anasema huu ukikamilika anauuza kuanzia Laki 3 na Nusu hadi Laki 4...ni mti wa Mkorosho huo

UNAPENDA NANASI...???....PATA NAMNA YA KULITUMIA UWAPO LIKIZO AU UFIKAPO NYUMBANI

How to wear the dress on holiday

 

How to wear the dress when you get home


Wednesday, June 27, 2012

BIBI MZAA BABA WA LADY JAYDEE AFARIKI DUNIA - ULALE PEMA PEPONI BIBI

HABARI ZA MSIBA ZIMETUFIKIA USIKU WA LEO  KWA MAJONZI TELE, UKIWA UMETOKEA HOSPITALI YA LUGALO
 
Msiba hauzoeleki hata siku moja,mnapoondokewa mnahuzunika na mara nyingi kulia...MUNGU alimbariki na kumpa miaka mingi duniani imefika wakati kaona imetosha,twarudisha shukrani kwake Muumba,R.I.P Esther Mogaya Wa Mankaba
RURAL & URBAN BLOG TUNATOA POLE KWA FAMILIA NZIMA KWANI NI WAKATI MGUMU MLIO NAO SASA, MUNGU AWAPE MOYO WA UJASILI MUWEZE KUHIMILI MIKIKI YA HUZUNI, KAZI YA MUNGU HAINA MAKOSA

Bishop resigns after being caught cavorting with woman on beach

The Vatican has accepted the resignation of an Argentine bishop who was caught cavorting with a blonde, bikini-clad woman on a Mexican beach. 

 
 Bishop Fernando Bargallo, 57, was forced to hand in his resignation after photographs emerged this month showing him frolicking and embracing the woman at a luxury resort in Mexico.
Bargallo, who led the Argentine diocese of Merlo-Moreno outside Buenos Aires since May 1997, has reportedly admitted to having "amorous ties" with the woman he is seen embracing in the water, thought to be a divorced restaurant owner.
He had initially claimed she was just a longtime friend.
The news broke as the Vatican ousted the founder of an Italian mission for "serious immoral behaviour," after it emerged he had sex with female missionaries during a posting in South America.
Luigi Prandin, who founded the Villaregia Missionary Community, was ousted along with co-founder, Maria Luigia Corona, who knew of the liaisons but covered it up because she feared a scandal. 

The scandals have raised fresh calls for priests to be allowed to marry.
Pope Benedict XVI has vigorously denied claims that abstention may have contributed to sex abuse scandals, insisting repeatedly that celibacy is central to the priesthood.
In April, he issued a rare condemnation of errant priests, slamming in particular an "appeal to religious disobedience" launched by a group of Austrian clerics in 2011, which argued for an end to priestly celibacy. 

Source: AFP

AJALI YA BASI YATOKEA ASUBUHI YA LEO


Bus la abiria(MUBARIKIWE)lenye namba za usajili T135ALR linalofanya safari zake kutoka Sumbawanga-Mbeya-Sumbawanga leo majira ya saa mbili asubuhi limepata ajali na kuchomoka tairi mbili za mbele.Basi hilo limegonga moja ya alama za barabari(kerbstone) eneo la Kianda kijijin kutokea Sumbawanga eneo ambalo kuna daraja namba moja linalojengwa na kampuni ya ujenzi wa barabara inayotengeneza barabara ya Laela-Sumbawanga..
 Wananchi wakiwa wamekusanyika

 Chanzo cha ajali hiyo  ni mwendo kasi wakati basi halina brake pia uzembe wa dereva umechangia asilimia kubwa kwakuwa alikuwa overspeed katika mteremko ambao mbele kuna daraja na Bahati nzuri kuna mashine inayoitwa bulldozer ikasaidia kuizuia isitumbukie mtoni kama picha inavyojieleza..Kama haitoshi huo ubichi karibu na basi ni mafuta ambayo yalitaka kusababisha kulipuka kwa basi..


 Mpaka tunatoka eneo la tukio hakuna abiria yeyote aliyepata matatizo na polisi wa usalama barabarani kituo cha Mpui walikuwa ndo wanaelekea eneo la tukio.



 Ikumbukwe kuwa mwendo kasi katika barabara inayotengenezwa ni hatari kwani haijapita hata wiki moja ambapo gari ya kampuni ya Kadji Lanji inayobeba Bia kutoka Mbeya kuja Sumbawanga nayo ilipata ajali na kusababisha hasara kubwa ambapo mpaka sasa dereva anashikiliwa na jeshi la Polisi mkoa wa Rukwa.
Shukrani sana Reporter wetu wa Rural & Urban Veronica kwa habari hii

KONDA WA KIKE AKIWA MZIGONI......BASI LA SEGEREA - KIVUKONI

 Akiwa kwenye seat kabla abiria hawajajaa
 Kikazi zaidi




 Akikusanya nauli
 Safi sana

Akihesabu mapene atoe chenji
Akilonga jambo na dereva wake

MASWALI NA MAJIBU - NIMEPENDA ALIVYOJIBU


MAJIBU YA FUMBO LA JANA

MLIOPATA HONGERENI SANA, ILIKUWA NI CHEMSHA BONGO NDOGO TU
NAWATAKIA SIKU NJEMA