Thursday, December 27, 2012

X-MAS ILIKUWAJE WAPENDWA?.......NIWAKUMBUSHE KIDOGO YALIYOJILI MWAKA JANA

X-mas yangu mwaka huu iliisha vizuri sana....hapa ni jioni  ilikuwa Nyumbani lounge kuimalizia siku hiyo


Hapa ilikuwa ni X-mas ya mwaka jana Tabora.....nikikumbuka nafurahi sana na ninazidi kui miss familia yangu maana hii dansi ilikuwa ni balaaaaa
Tulipokuwa wadogo nakumbuka Baba alikuwa anatuwekea mziki tushindane....sasa ile hali imetujenga hadi leo mziki ukipigwa ndani ni shangwe tu....wakati wa sendoff yangu na ya mdogo wangu show ilichezwa na watoto wa familiani tu........
Hapo sasa ni mwendo wa style tuuuuu....Baba na Mama wao walikuwa kazi yao ni kucheka tu hasa wakiona watoto wao tukiwa busy namna hii

Party ikiendelea....kifamilia zaid...
Haposasa.........Mwaka huu sikuweza kwenda Tabora nasubiri tu story niambiwe ilikuwaje maana duh....

Naamini wapenzi wa blog hii mlikuwa na sherehe njema, nawatakia heri zaidi ili mwaka mpya tuupokee vizuri na tuwe makini zaidi maana mwisho wa mwaka na hizi sherehe mengi hutokea.

Mimi penda sana watu wangu wote


HAPPY BIRTHDAY JOSEPH STIMA ULAYA

 Unazidi kuwa Mkaka......Nakutakia heri zaidi hasa kwenye kumbukumbu yako hii ya kuzaliwa.....Mshukuru na Kumuomba Mungu kwa kila jambo, mtangulize yeye maana ndo mpaji wa yote. Zingatia masomo yako huo ndo msingi mkuu utakaokuongoza katika maisha yako.
 Mimi penda sana wewe...unaijali na kuipenda familia yetu....wewe ni mdogo wangu lakini pia ni rafiki yangu mno....nimekukumbuka mno laiti hii siku ingekukuta Bongo duuuuuuuuu
Ila naamini mama Stima yuko busy na Vichwa vya Ntalali kukuandalia mambo

Happy bilated Birthday Dogo nayoooooooo

Wednesday, December 26, 2012

HOW TO APPRECIATE LIVING IN A RURAL AREA AS A TEENAGER



Most teenagers want to live in cities-or at least respectable towns-where the fun happens. Unfortunately, maybe your parents are older and want to be able to relax. Maybe they don't trust the city. Maybe they lived in a city before and want to live in the country now. For whatever reason, until you blow out those 18, 19, 20 or 21 candles, you're stuck smack in the middle of...nowhere. While you might not like the country and probably don't want to live there the rest of your life, you might look back as a city slicker one day and be glad you had a small chance to experience such a pastoral setting while you were young. But that's a long way away from now, and there's no way you can fast-forward.


Steps

1. Reach out to other teenagers. This is more important the fewer teenagers there are in your town. Chances are good that, out here, you spend a lot more time than you'd like hanging out with your family. Find a few good friends who share your feelings about your town-even if interests or personalities clash, you're in the same boat. You'll want their companionship so that you can practice having your own social life.

2. If you live close enough, travel to a nearby city every few weeks to catch up on the lifestyle there and see the sights and sounds that just don't exist back home.

-Don't forget to save money up for these trips!

-If a large city is far away, you might have to plan ahead and stay over on a long weekend, such as Columbus Day or Memorial Day. It's still worth it, though!

3. Keep up with trends in cities you think will attract you when you've moved away from home. You should definitely follow the norms of domestic hot spots such as New York, L.A., Boston, Seattle and Miami, but if there is an international city you're interested in the culture of, don't forget about it!

-Also try to follow some of the trends of people in your town. You wouldn't want to stick out too much, would you?

4. Depending on where you live, you may have more or less leeway than teens living in cities, so be wise with it. For example, your parents may let you walk around on your own late in the day, whereas in the city, that's not safe because of all the idiots out there. However, you have the disadvantage of the fact that buildings and homes in the country tend to be further apart than in the city, and where you want to go may not be within walking distance. If such is the case, call up those buddies we talked about earlier and arrange a carpool!

5. Get your license as soon as state law allows. In the city, some teenagers wait a while because everything is so close together, but in the country, that's just not an option.

6. Enjoy some of the things about living in a rural area. For example, you can easily go apple picking in the fall, and drive around to view foliage. In the spring and summer, there are lakes you can visit.

7. Realize that living in the country as a teen does not make you immune to doing some of the stupid things that city teens seem to do. Parents of rural teenagers need to realize this too. Whether you live in the middle of Brooklyn or the middle of Wyoming, the least populous state in the Union, you are bound to know of girls who've gotten pregnant, kids who do drugs, kids who smoke, kids who steal, and kids who drink underage. Don't let it happen to you! It sounds cliche, but like the commercial always says, stay above the influence!

8. In the country, it might be hard to find a job as a teen. Finding a job that will pay you fairly can be even harder. Don't give up, but at the same time, make sure your parents understand this so that they will still provide you with some spare cash.

9. Do your best in school, even if the teachers and building conditions aren't that great. Nowadays, an education is key.

10. Remember to save for college! No matter where you go, you need to go. Remember, when looking for a job in the city, a college degree is what a high school diploma was 50 years ago.

Monday, December 24, 2012

Enjoy Christmas Songs

Christmas is approaching, all the streets are brimming with strong happiness and festive atmosphere. When you are hanging around those shopping malls, supermarkets and some other places, you can always heard those classical, pop or moving Christmas songs.

HII PICHA NIMEIPENDA........KILA MTU BUSY NA YAKE........

WALE WATOTO WAWILI MSTARI WA MWISHO KABISA SIJUI WALIWAZA NINI.....HAHAHAHAHHA

Friday, December 21, 2012

Waombaji wote waliochaguliwa kwenda Msumbiji kusoma 2012/2013 kwa utaratibu wa TAMOSE

TANZANIA - MOZAMBIQUE STUDENTS EXCHANGE PROGRAM   (TAMOSE)

Waombaji wote waliochaguliwa kwenda Msumbiji kusoma 2012/2013 kwa utaratibu wa TAMOSE, wanatakiwa kufika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi tarehe 31/12/2012 kwa ajili ya kupewa maelekezo husika. Wanatakiwa kujiandaa na kuwa tayari kwa safari kwenda Msumbiji Jumatatu tarehe 2/01/2013 au Jumatano 6/01/2013. 

Mkutano wa maelekezo utaanza saa 3:00 asubuhi katika Ukumbi wa mikutano hapa Wizarani. Itabidi kila mmoja ajigharimie kuja Dar Es Salaam na kwa muda wa kusubiri safari. Kila mwombaji atakayeona taarifa hizi amwarifu mwenzake.
 

Kajigili, A.J.
Mratibu wa TAMOSE
Idara ya Elimu ya Juu
Kwa maelezo zaidi: 0713 401623.

NAFASI ZA KAZI YA UANDISHI WA HABARI/MPIGA PICHA


Kajunason Blog (www.kajunason.blogspot.com) inapenda kukutangazia nafasi ya kazi ya Uandishi wa Habari na Mpiga Picha kutoka mikoa ya:Mwanza nafasi 1
Arusha nafasi 1
Mbeya  nafasi 1
Dodoma nafasi 1
Dar es Salaam nafasi 2

Vigezo:

1. Awe na uwezo wa kupiga picha na kutumia komputa kwa ustadi mkubwa.
2. Mwenye elimu ngazi ya Cheti.
3. Mwenye mahusiano mazuri na jamii yake pamoja na viongozi mbali mbali wa Mkoa wake.
4. Uzoefu usiopungua miaka miwili (2) kazini.
5. Afya njema na uwezo wa kuhimili mikikimikiki.
6. Mwenye umri kuanzia miaka 24 na kuendelea mpaka 31.
7. Asiwe amewahi kupata makosa yeyote na kupelekwa kwenye vyombo vya sheria kwa makosa ya rushwa, wizi, unyang'anyi na ubakaji/unyanyasaji wa kijinsia.

Maombi yaambatanishwe na maelezo ya muombaji (Biography) pamoja na picha yako inayokuonyesha mwili wako wote (full size).

Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 27.12.2012

N:B Maombi ambayo hayatakuwa yamekamilisha viambatanisho hayatapokelewa.

Maaombi yatumwe:

Barua Pepe: cathbert39@gmail.com