Monday, August 13, 2012

TAMASHA LA DINI "LOVE TANZANIA" LILIVYOTIA FORA VIWANJA VYA JANGWANI JIJI DAR


Pichani Juu na Chini ni Umati wa Watanzania uliofurika kwenye Tamasha la Dini lililopewa jina la LOVE TANZANIA linaloendelea katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam likiongozwa na Askofu Andrew Palau kutoka Marekani.
Vijana walioongoza na Askofu Andrew Palau wakitoa burudani na mafundisho ya dini kwa njia muziki.
Wana Dar es Salaam wakiendelea kumiminika katika viwanja vya Jangwani.
Mmoja wa Wahudumu katika Tamasha hilo akipata chakula cha mchana na familia yake Uwanjani hapo.
Umati wa watu ukiwa kwenye foleni ya kupata huduma ya chakula uwanja hapo.
Moja ya Magari na wafanyakazi wa Kampuni ya Usafi iliyopewa Zabuni ya kusafisha Manispaa ya Ilala Green Waste Pro Ltd likiwa limepaki katika Viwanja vya Jangwani kuhakikisha Usafi unazingatiwa Uwanjani hapo wakati tamasha la Dini lililopewa jina la LOVE TANZANIA likiendelea.
Pichani Juu na Chini ni moja ya michezo iliyofanyika kama sehemu ya burudani uwanjani hapo ambapo ilionekana kuvutia Umati wa Watanzania waliohudhuria tamasha hilo.
Vijana, Watoto kwa Wazee wakitazama mchezo wa mapikipiki.
Mmoja wa wafanyakazi wa Kampuni ya Green Waste Pro Ltd akihakikisha swala usafi linazingitiwa uwanjani hapo kama inavyoonekana.
Wananchi waliohudhuria tamasha hilo wakishuhudia mchezo wa Baiskeli.
Palikuwa hapatoshi Jangwani.
Ulinzi na Usalama kwa raia ulikuwepo.
Familia zikiendelea kula, kunywa na kufurahi uwanjani hapo.
Hili ni Jukwaa la kimataifa kutoka nchini Uganda maalum kwa ajili ya Tamasha lililopewa jina la LOVE TANZANIA likiongozwa na Askofu Andrew Palau kutoka nchini Marekani, haijawahi kutokea kusikia Sound na Mziki wa Ukweli nchini kwa mliohudhuria tamasha hili mtasema.

NA HUKU WENGI WETU NDO ASILI YETU

 Mabanda ya Mifugo 
 Na mifugo ikilishwa
 Ndo vijiji vyetu, hata mijini mazingira kama haya na ufugaji wa namna hii upo tele
 Mavuno time....chezea wakulima wewe

 Sasa je!  unakumbuka wapi ukiona hivi??????????
Rural Life Style.....Haya maisha hayatofautiani saana na Mjini, hata hapa Dar yapo ukienda Mbande, Kimbiji, Mabwepande, n.k.
Asante Vero kwa Matukio haya

Sunday, August 12, 2012

PHOTO OF THE DAY

Prezzo akiwa na Walinzi wake, hii ni baada ya kutoka BBA

Kushti King Sushil Kumar's: The first Indian to win back-to-back Olympic medals

PHOTOS: Kushti King Sushil Kumar's journey to the finalPHOTOS: Kushti King Sushil Kumar's journey to the final
PHOTOS: Kushti King Sushil Kumar's journey to the final
PHOTOS: Kushti King Sushil Kumar's journey to the final
Hii ni Ile mieleka ya Kihindi niipendayo
PHOTOS: Kushti King Sushil Kumar's journey to the final
 London:  Wrestler Sushil Kumar today created history by becoming the first Indian to win back-to-back Olympic medals when he assured himself a silver by storming into the final of the men's freestyle 66 category in a dramatic fashion at the Excel arena here today.The 29-year-old Indian demolished Akhzurek Tanatrov of Kazakhstan 3-1 in an engrossing semi-final contest to achieve the memorable feat and provide the late spark to India's Olympic campaign.
With Sushil's heroics on the mat, India have now put themselves on course for the coveted gold medal which had eluded them so far.

YULE BABA NILIPOST HABARI YAKE YA KUPATA AJALI NAMANGA-KINONDONI AMEFARIKI DUNIA: POLENI SANA WAFIWA

Jana nilipigiwa simu Na Magge akanipa habari za masikitisho kuwa ajali niliyopost siku ya Ijumaa yule baba hayupo tena Duniani...Mungu aiweke Roho ya Marehemu Peponi....Amina
Na huyu ndo aliyegongwa, Nasikitika kusema kuwa amefariki....roho iliniuma sana nilipopata hizo taarifa jana

Friday, August 10, 2012

Kibaki orders Kenya Air Force to airlift ACCIDENT VICTIMS from Tanzania



Friday, August 10, 2012 - Reports trickling in indicate that President Kenya Mwai Kibaki has ordered the Kenya Air Force to disperse planes to Tanga Tanzania and airlift the victims of the accident to Nairobi for treatment.
The accident that occurred at 5.30 A.M. at Mandere area in Tanga claimed 11 women all members of women’s guild from Thika. Police in Tanzania have reported that at least 40 other people have been injured and are being attended to at local hospitals in the area.

KUTANA NA SANGOMA WA KIZUNGU

I'm inspired by animals like snakes and hyenas: White Sangoma reveals


PEOPLE come from all over to be healed by sangoma Leona Swanepoel.

"Respect your ancestors!" the sangoma warns her patients.

She is known as Mmamarapelo and lives in Matlapeng, in the mountains of North West, on a piece of land she says is sacred. Mmamarapelo said her journey began when she was still young.

"My family are all Christians and I was a full member of the Catholic Church. At one time I owned modelling agencies in Cape Town and Joburg, but I left all that for my calling," she said.

URBAN LADY Look Book: The Weekend Electic

Tibi strappy Arizona dress

Look One: Pretty Pastels


Look Two: Mellow Yellow
Look Three: What a Stud

AJALI ILIYOTOKEA JANA JIONI MATAA YA NAMANGA KINONDONI

Mwenye Gari hili alimgonga Baba mmoja alikuwa anavuka barabara pale mataa ya Namanga-Kinondoni
Na huyu ndo aliyegongwa, hapo aliyemgonga akiwa kampakia kwenye gari lake ampeleke hospitali, aliumia kwakweli
Kama ilivyo ada ikitokea ajali au tukio lolote la Gafla, hukosi kuona mkusanyiko wa watu kushuhudia tukio
Kila huyo alipata mshtuko wa aina yake