Tuesday, August 7, 2012

INTERVIEW YA NANCY SUMARY: OLD IS GOLD....... HAPPY BIRTHDAY MDADA


Ikiwa leo ni kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mrembo Nancy Sumary, tujikumbushe mahojiano aliyowahi kuyafanya mwaka 2005 ambapo alifanya vizuri sana kwenye maswala ya urembo. Twende pamoja hapo chini kufuatilia mahojiano hayo
 Lengo likiwa ni kuonyesha kuwa Nancy Sumary alijiamini kwa kiasi gani na mwenye matumaini makubwa wakati wa maandalizi yake kuelekea Miss World, na alipewa sapoti ya kiasi gani na kamati ya Miss Tanzania ili angalau aweze kufanya vizuri katika shindano hilo.

Baada ya mawasiliano ya hapa na pale na mkurugenzi wa kamati ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga ndipo nilipokutana na MissTanzania Nancy Sumari kwenye ofisi za kamati hiyo zilizopo jengo la Mavuno House, ghorofa ya nne na kufanya mahojiano naye kama ifuatavyo.
Mwandishi : Miss Tanzania Nancy Sumary hujambo dada?.

Nancy : Mimi sijambo kaka namshukuru Mungu.

Mwandishi : Tunaomba utupe historia yako kwa ufupi.

Nancy : Anatoa kicheko na kuonyesha tabasamu la kuvutia huku akianza kwa kusema “Mimi nimezaliwa miaka 19 iliyopita na nimepata elimu yangu nchini kenya, ambapo nilisoma huko mpaka kidato cha nne katika shule inayoitwa Maasai High School.”
Mwandishi : Kama unavyojua unakabiliwa na kazi ngumu ya kuwatoa kimasomaso Watanzania kwenye shindano la Miss World vipi maandalizi yako yamefikia wapi hivi sasa.?

Nancy : Kwa ujumla maandalizi sio mabaya yanaendelea vizuri na ninapata msaada mkubwa kutoka kamati ya Miss Tanzania nafikiri nitafanya vizuri tu.

Mwandishi : Unaweza kutupa ratiba yako ya kila siku jinsi unavyoipanga na kuifanyia kazi katika kujiandaa.?

Association for Friends of African Baseball (AFAB): KIBASILA SECONDARY YAENDELEA VIZURI NA MAFUNZO


The first match for Kibasila Secondary School against All Japan (InTanzania) was bad result, but the students said,'the game was so exciting!''I came to love baseball more'. The next gane is expected in September. Let's go Kibasila baseball team! Make the future of Tanzanian baseball!

The very first experience for kibasila Secondary School baseball team members to have a ball game was ended 0-14.
They tried to show respect after the game like Japanese way. They lost the game but would obtain a lot from the match.

UNAPOKUWA SAFARINI SI VIBAYA UKAFANYA HIVI.........

Hapa ni Highway restaurant-Korogwe, Tanga. Watu wakijipatia mahitaji na zawadi za safarini kwa wapendwa wao.

JANA JIONI 6/8/2012........NDO HALI HALISI YA JIJI LETU

Kituo cha Dala dala ndo kama hivi, abiria wakisubiria usafiri
Dala dala ilipofika wapo waliotumia technique ya kupitisha kabisa mizigo dirishani ikiwa ni guarantee ya kupata siti
Mvumilivu hula mbivu...wapo walioendelea kusubiri wakiamini daladala wapandazo zitafika waondoke
Kasheshe huwa ni kwa Wanafunzi zaidi, ona wanavyojitahidi walau wapate upenyo wapande na abiria nao wamekaba kweli kweli........lazima kieleweke tu
Duh.......hapo sasa kama kuna vibaka wapo walioibiwa


Kuna mdada ilibidi aombe apite upande wa Dereva...yote hii ili apate siti au aweze ingia ndani ya basi maana mlangoni kupenya ni shughuli
Nani alisema siku hizi dala dala za mbagala hawaingilii dirishani???? check wakaka hao walivyobusy lol
Madereva wa dala dala huwa wana akili wazijuazo....ona hiyo kubwa ilivyotokezea upande ambao sio wake akasababisha mfungamano wa magari......maskini huyo Learner sijui alitetemekaje baada ya kuona hiyo hali.

NAWATAKIA KAZI NJEMA WAPENDWA WANGU WOTE......MIMI PENDA SANA NYIE

Monday, August 6, 2012

ILIKUWA NI DIAMOND SASA NI WEMA: KARIBIA KILA KITU VINAFANANA.......


Kwanza: nawapa pole kwa kuugua
Pili: mimi naona kama utata fulani, ukifuatilia historia za ugonjwa wao unafanana, mahali/hospitali waliyotibiwa ni moja, Daktari huyohuyo, tofauti ni kuwa alianza Diamond kafuata Wema......Hizi ni ishara za nini???  Nawaza tu kwa SAUTI wapendwa.......au kuna Movie wanaandaa? Au kuna ujumbe wanajaribu kuutuma kwetu sisi wananchi....duh najikuta nawazaaaaa weeeee jibu linakuwa NEHHHH

NAWAPENI POLE SANA NA MPONE HARAKA

MUWE NA SIKU NJEMA WADAU WANGU WOTE

Fake PASTOR caught having SEX with a young boy in Vihiga


Saturday, August 4, 2012 - A hawker who is alleged to have pretended to be a pastor in Vihiga County is being held by police in the area after he was caught red handed in the act of sodomy at a hotel in the area.

A hotel manager in Cheptulu market booked the man in the hotel who moments later left and came back to the room with a primary school boy in uniform. The manager became suspicious and called police.

Police in Vihiga stormed the hotel room and were shocked when they saw the man mounting on the small boy. The man was arrested and is being held in police custody.

DUH.......NIMEIPENDA HII KWAKWELI

THE FASTEST MAN ON EARTH

9.63 seconds... Lightning Bolt shatters Olympic record

Sunday, August 5, 2012

Finale: IK Enters The House!


Finale: IK Enters The House!

After 91 grueling days of blood, sweat and tears, the day we have all been waiting for has finally arrived!

Superstars including international star D'Banj, Navio and Khuli Chana all walked the glittery StarGame red carpet this evening. Housemates from previous Big Brother seasons also rubbed shoulders on the red carpet, with Big Brother StarGame alumni, as well as the finalists' family and friends. Big Brother StarGame fans across Africa have been waiting with bated breath to see who will walk away from the game, USD 300 000 richer!

'BLADE RUNNER' OSCAR PISTORIUS SPRINTS INTO THE HISTORY BOOKS TO BECOME FIRST DOUBLE AMPUTEE TO COMPETE AT THE OLYMPIC GAMES

History in the making: Oscar Pistorius became the first double amputee to compete in an Olympic Games when he ran in the 400 metre heat. From left: Dominican Republic's Luguelin Santos, South Africa's Oscar Pistorius and Russia's Maksim Dyldin
Starting blocks: Pistorius, a four-time Paralympic champion who runs on carbon-fiber blades, circled the oval in 45.44 seconds - good enough for second place in his heat and a berth in the semifinals Sunday night

Saturday, August 4, 2012

HERI YA KUMBU KUMBU YA KUZALIWA VERONICA STIMA

 Mdogo wangu wa ukwee
 Nakutakia maisha mema na marefu, hasa katika kumtegemea Mungu kwa kila ufanyalo
Najidai sana kuwa na mdogo kama wewe...kwenye shida na raha twakumbukana...shukrani sana kwa upendo uuonyeshao kwangu na kwa familia kwa ujumla.

NAKUPENDA SANA NA DAIMA TUTAKUWA BEGA KWA BEGA KWENYE KUTIMIZA NDOTO ZAKO......AMINA