Sunday, May 20, 2012

PATA KUJUA MACHACHE SANA KUHUSU MIMI

NILIULIZWA MAMBO MACHACHE NA SHEMEJI YANGU (kabelelejr.blogspot.com
 AMBAYE NI BLOGGER WA KITAMBO KUHUSU MIMI NA BLOG YANGU, NA VITU NIVIPENDAVYO.

10 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Nimepata uchache lakini katika uchache huo nimejifunza mengi zaidi. Unastahili hayo yaliyoandikwa mdada:-)

lenny said...

thats nice of u dada keep it up

Interestedtips said...

hahahaha asante sana mdada

lenny said...

afu mi nlitoke kukupenda hata sijui sababu kweli duniani kuna natural love utafikr nshawah kukuona loh

Interestedtips said...

Lenny asante sana, Mungu ni mwema na ana nguvu za ajabu sana, asante kwa upendo wako i do Appreciate kwa kiwango cha juu

Interestedtips said...

Lenny asante sana, Mungu ni mwema na ana nguvu za ajabu sana, asante kwa upendo wako i do Appreciate kwa kiwango cha juu

Mija Shija Sayi said...

Ester Mimi nakukubali kabisa..

kokusimah said...

Nafurahi kujua haya Mpenzi, nakuzimikiaje sasa? Endeleza libeneke

Interestedtips said...

Da'Mija asante sana, nakukubali sanaaana pia dada mkubwa, nyie ndo viongozi wetu wa haya mambo

My wii Renata mi naona kama ile tarehe haifiki, nitaserebukajeeeeeeeeee, asante sana

kokusimah said...

Mi mwenyewe naona km tarehe zinarudi nyuma Mwee, Ngoja tumkabidhi manani my wii.