Friday, August 3, 2012

MTOTO KAOKOTWA......ANAYEMFAHAMU AJITOKEZE


Mtoto ameokotwa eneo la PPF Tower, Jijini Dar Es Salaam saa sita mchana wa leo. Amekutwa amelala chini eneo hilo.

Ameletwa Hospitali ya Taifa Muhimbili na Askari wa Central Police. Mtoto huyu anakadiriwa kuwa na umri wa mwaka mmoja na nusu hivi, kwa hiyo hawezi kuongea.

Yeyote anayemfahamu mtoto huyu au wazazi wa mtoto huyu ajitokeze na kutoa taarifa sahihi kwetu kupitia namba yangu 0755 64 86 3
6 au 0715 64 86 36.

Mtoto tunaye Hospitalini, anaendelea kuhudumiwa. Tafadhali sambaza barua pepe hii.

Imetolewa na;
Aminiel Buberwa Aligaesha
Afisa Uhusiano Mwandamizi

Hospitali ya Taifa Muhimbili

URBAN LADY Look Book: The Weekend Electic

Summer Picnic
Autumnal Cocktails

Wintery Walks

KUTOKA ARUSHA

Huyu trafic Arusha juzi kati alikamata bodaboda ya matairi matatu maarufu kama toyo kwa kosa la kutokuwa na namba za usajili ingawa ilionekana mpya haijatumika, basi akawashusha wale vijana akaendesha yeye, ghafla makutano ya mtaa wa bondeni akashindwa kukwepa gari dogo akaligongeza toyo kwenye gari. je sheria zinasemaje kwa tukio kama hili? baada ya muda traffic akaitelekeza bodaboda na kupanda hilo gari dogo lilionekana kupata madhara wakatokomea kwenda kumalizana. 

Pata matukio zaidi kwa picha chini


Toyo na Gari zikiwa zimegongana na aliyesababisha hii ajali ni askari
Asante sana Mdau wa Rural and Urban Blog kwa matukio haya

Thursday, August 2, 2012

KATE MIDDLETON AND PRINCE WILLIAM CELEBRATE WITH A RARE PDA AS SIR CHRIS HOY AND SPRINT TEAM WIN GOLD

Duke and Duchess of Cambridge arrive at the velodrome in matching Team GB polo shirts
Another event, another Mexican wave ... the couple join in with the crowd at the velodrome with William watching the on the big screen up above

The Duke and Duchess of Cambridge really got into the spirit of support Andy Murray in the men's singles quarter finals at Wimbledon today
William and Kate embrace in the crowd as Team GB storms home in the velodrome
More on Daily Mail

PHOTO OF THE DAY


Baby Born With Brain Outside Head, Dies In South Africa


JOHANNESBURG – A South African doctor says a baby born with his brain outside his head has died after being alive for three weeks.
A doctor on duty when the baby died said Monday that Sibusiso Mokoena’s condition, known as anencephaly, was the cause of his death. Dr. Ntumda Mutondo told The Associated Press that she performed CPR on the infant, but couldn’t revive him. Mutondo said the infant died Wednesday.
Sibusiso, known in South Africa as Baby Mokoena, was born on July 4.
Babies born with anencephaly do not usually survive long. Doctors say some of the main causes of the condition are vitamin and folic acid deficiencies during pregnancy.

Ebola in Eldoret…..KENYA



Thursday August 2, 2012  - Shock and anxiety engulfed Moi Teaching and Referral Hospital Eldoret (MTRH) on Thursday when a patient was admitted with symptoms of Ebola.

The patient who had travelled from Juba in Southern Sudan through Uganda to Eldoret was put in isolation as doctors attending to him put on protective gear to avoid possible infections.
As word went around that a suspected Ebola case has been received, more protective masks were provided as some staff around the casualty area of the hospital avoided handshakes.

UPDATE YA MGOMO WA WANAFUNZI NA KUZIBA BARA BARA: KENYA

REPORTER WETU WA RURAL & URBAN BLOG ANASEMA: Kulikuwa tu na mgomo. WanafunzinHawakufurahishwa na kitendo cha mwalimu wao kuuza mbao za shule kwa wasomali kisha wakajenga msikiti shuleni kwao wakati kwa haraka haraka wengi wao inaonekana ni wakatoliki. Waliamua kuuchoma moto huo msikiti. Na tangu juzi usiku walikuwa wanapambana na maaskari waliotaka kuzima juhudi zao za kutangaza hoja yao. Ndipo asubuhi jana 1/8/2012 waliamua kufunga barabara eneo la KAJAIDO kama 100km toka Nairobi. Walizuia magari ya pande zote huku wakisema wanamtaka Waziri wa Elimu aje ili wamweleze. Sisi tulipofika tulikaa hapo kuungana na tuliowakuta kwa muda wa takribani masaa mawili. Mimi na Mmma mmoja na Mzee mmoja siwajui majina tulienda kuwaomba kuwa tunakwenda mbali waturuhusu tu tupite. Ila tukawashauri pia wajaribu kuongea mjumbe wa watu waliotumwa katika askari waliokuwa wamemwagwa wanasubiri amri tu. Tukawaambia mkishindwa wakaja polisi mtakosa hiyo fursa ya kuongea tena. Wakatusikiliza wakajikusanya wakajadiliana na kuanza mazungumzo. Na tukawaomba basi wafanyie mazungumzo pembeni ya barabara. Wakasita kidogo ila baadaye wakakubali. Ndio tukaendelea na safari.

Shukrani sana kwa Update hii

Wednesday, August 1, 2012

EXERCISE SWAP

Swap aerobics class for swimming: Just 30 minutes of front crawl burns 295 calories - it takes 46 minutes of aerobics to do the same. Aerobics classes vary in quality, but swimming is a great way to tone every muscle. Because the water cushions your body, it also protects joints.

CHINA NA MAREKANI MMETISHA KWA MEDALI....MNACHUANA KWELI KWELI