Monday, December 31, 2012

FRIENDS PUB TWAUAGA MWAKA KWA NAMNA HII

 Utumbo tayari kwa kutengenezwa supu...
 Nyama ikiiva jikoni.
 
 Vijana wakisafisha utumbo kwa ajili ya supu...
 Nyama ikiendelea kuiva.
Kijana akigeuza nyama ndani ya jiko la kisasa, ikiwa ni maalum kwa ajili ya sherehe za kuaga mwaka 2012 na kuukaribisha mwaka 2013 ndani ya kiota cha maraha cha Friends Pub kilichopo Kinondoni jijini Dar es Salaam.

No comments: