Monday, December 31, 2012

MATUKIO AMBAYO SIWEZI YASAHAU YALIYOTOKEA MWAKA HUU........PART II

 Sister and Brothers
 Siku ya Harusi wakifanya makamuzi






 Duh...binamu na kaka haooooooo
 Mashindano yakapamba moto

 Unabishaaaaaaaa.....mshindi mimi
 heheheheheheh....kazi ipo
 Wenye swaga zao wakaingia kati

 eheeee na wewe hukubaki nyuma rafiki
 Maharusi wakainuliwa wadansi pia
 Kwakweli mliipamba sherehe vijana
 Kama mnapaa vile
 Style ya kutoka stejini
 Hapo sasa



Kwakweli na siku ya harusi pia ya Mdogo wangu Vero na mumewe Allen ilikuwa ni shangwe kwenda mbele....vijana waliserebuka kupita maelezo....nikiangalia hizi picha huwa najikuta natabasamu tu

No comments: