Sunday, July 1, 2012

GHOROFA LILIOPO KATI YA KARIAKOO LIVING STONE JIJINI DARESALAAM LINAWAKA MOTO!

Jengo la Ghorofa lililopo mitaa yaKariakoo na Livingstone, jijini Dar es Salaam, likiwa limeshika moto leo mchana kutokana na sababu ambazo hazijajulikana mara moja. Chumba kimoja kilichokuwa na chupa kibao za manukato kimeteketea.  
SOURE UJANATZ BLOG

No comments: