Tuesday, July 24, 2012

GHANA VP TO BE SWORN IN AS NEW PRESIDENT

 President John Atta Mills died unexpectedly on 24th July 2012

ACCRA (Reuters) - Ghana's vice president will be sworn in as the West African country's new president on Tuesday evening, hours after President John Atta Mills died unexpectedly, a parliament official in charge of proceedings told Reuters.

Ebenezer Djietror said Vice President John Dramani Mahama would be sworn in at 1800 GMT.


According to the country's constitution, Mahama will complete Mills's term that was due to end with elections in December.


3 comments:

ray njau said...

Hakika kifo ni adui yetu maishani.

Interestedtips said...

Na huyu Adui twamuogopa mnooo

ray njau said...

7 Nenda, ukale chakula chako kwa kushangilia na kunywa divai yako kwa moyo mchangamfu, kwa sababu tayari Mungu wa kweli amependezwa na kazi zako. 8 Katika kila pindi, mavazi yako na yawe meupe, wala kichwa chako kisikose mafuta. 9 Furahia maisha pamoja na mke unayempenda siku zote za maisha yako yaliyo ya ubatili ambayo umepewa na Yeye chini ya jua, siku zote za hali yako iliyo ya ubatili, kwa maana hilo ndilo fungu lako maishani na katika kazi yako ngumu unayoifanya kwa bidii chini ya jua. 10 Yote ambayo mkono wako unapata kufanya, yafanye kwa nguvu zako zote, kwa maana hakuna kazi, wala utungaji wala ujuzi wala hekima katika Kaburi, mahali unapokwenda. _Mhubiri 9:7-10