Thursday, August 30, 2012

NENO LA LEO


STAND UP COMEDY: EVANS BUKUKU ON 28/08/2012





 Mchekeshaji Maarufu Nchini kutoka Vuvuzela Entertainment,Evans Bukuku akikafanya vitu vyake usiku wa kuamkia leo katika kiota cha maraha cha Nyumbani Lounge,Namanga jiji Dar wakati wa Shoo yake ya kuvunja mbavu za watu (kuchekesha katika stand up comedy).
 Evans Bukuku akiendelea kuchana mbavu za watu kwa vituko vyake wakati wa Shoo yake ya kuvunja mbavu za watu (kuchekesha katika stand up comedy) iliyofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye kiota cha maraha cha Nyumbani Lounge,jijini Dar.
 Evans Bukuku akimuuliza mmoja wa wadau wake swali la kizushi kuhusiana na mambo ya kuchimba dawa safarini.
 Dogo Pepe wa Vuvuzela akionyesha umahiri wake wa kuvunja watu mbavu kwa kucheka wakati wa shoo yao iliyofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye kiota cha maraha cha Nyumbani Lounge,jijini Dar.
 MC wa Shoo hiyo alikuwa ni Taji Liundi nae haachi kuchekesha awapo stejini.
 Enika akiimba nyimbo za vichekesho.
Mmoja wa Wadau wakubwa wa Stand up Comedy za Evans Bukuku,aitwaye Ester Ulaya nae hakuwa nyuma kuotoa kituko chake wakati shoo hiyo ikiendelea.
 Kila aliefika ukumbini hapo hakuacha kucheka kwani vichekesho vilinoga ile mbaya.

Wednesday, August 29, 2012

Spanish Magazine Courts Controversy with Michelle Obama Cover

Photo courtesy of El MundoMichelle Obama has graced magazine covers from Time to People to Vogue looking powerful, beautiful, and downright regal, but now a Spanish magazine is picturing her bare breasted, and as a slave. 
The cover of Magazine Fuera de Serie, which is widely available in Spain as a newspaper lifestyles supplement, shows the first lady's face superimposed onto an 1800portrait of a female slave by Marie-Guillemine Benoiste, a French neoclassical painter.

According to the magazine's editor, the picture is meant to honor Michelle Obama who they call the "gran mujer" (great woman) who "conquered the heart" of the man who would be president and "seduced the American people."

WANAWAKE WA MALI NA BURKINA FASO







NASHUKURU SANA MDAU WA BLOG HII KWA MATUKIO HAYA

Monday, August 27, 2012

JANA NILIHESABIWA.........SENSA 2012

 Jana nimekaa ndani hadi saa 11 jioni wana sensa hawajapita...ile natoka ndani tu nimefunga mlango nikafanye mizunguko, naona Karani anaingia
 Ikabidi nihesabiwe nikiwa nimesimama hapo hapo nje...na karani hakuwa na hiyana
 Nikaanza kuhojiwa...nikatoa ushirikiano woteee
 Alikuwa anatik kila nikimjibu swali
Hapa alikuwa ananiambia dodoso langu lina maswali 37...wapo ambao wana wanaulizwa maswali hadi 60

Kwa wale ambao hamjahesabiwa....mtahesabiwa tu, ndo maana kuna siku 7

SHOCKING: 10 year old delivers TWINs in Kisumu after RAPE from HIV+ father


Sunday, August 26, 2012 - A 10 year old class four pupil at a public school in Kisumu is alleged to have delivered twins at a local hospital in the area. The girl is said to have been impregnated by her father who has been using her as his wife after her mother died.

The young girl has been a subject of ridicule by other children in the area as she stopped going to school to deliver her babies first. Neighbors said that the girl declined to confide in them on the man responsible for her pregnancy when they discovered she was expectant.


TUENDELEE NA UTALII KIJIJINI - PART II


Mashambani.....akipandisha kampandooo......

Akichukua kumbu kumbu
Akila pose la picha
Tabasamu kwa sana tuu
Mizunguko ikiendelea

Sunflower......
Muwe na jumatatu njemaaa....na mwanzo mwema wa wiki

Sunday, August 26, 2012

PLAY WITH NUMBERS: Your SHOEs can tell you your AGE



1. Take your shoe size.

2. Multiply it by 5.

3. Add 50.

4. Multiply by 20.

5. Add 1012.

6. Subtract the year you were born… 

The first digit is your shoe size, while the last 2 digits are your age


NB: IT IS ONLY A TRICK WITH FIGURE BUT THE ABOVE CAN NEVER WORK FOR A PERSON WHO IS MORE THAN 100 YEARS IN AGE SAY SOMEONE BORN IN 1910

NIGERIAN IMMIGRATION SERVICE BREAKS CHINESE PROSTITUTION RING IN LAGOS | ARRESTS 13 TEENAGE PROSTITUTES


The Nigeria Immigration Service (NIS) has announced the arrest and detention of 13 teenage Chinese prostitutes following a raid of their base at Emina Crescent, off Toyin Street, Ikeja, Lagos. The 13 Chinese girls were paraded in Lagos yesterday.

The NIS spokesman, Joachim Olumba, told Channels TV that the suspects were apprehended in Lagos following a tip off from an informant. He said the service received a report on the activities of some Chinese nationals who connived with some Nigerians to traffic teenage girls into the country under the pretext of offering them jobs in factories.

DC GEITA AHAMASISHA SENSA,KUUPOKEA MWENGE WA UHURU



Mangochie alieshika bomba
Na Mwandishi wetu
MKUU wa Wilaya ya Geita, Omari Manzie Mangochie amewaasa wananchi wa jimbo hilo kutoa ushirikiano kwa makarani wa sensa, iliyoanza usiku wa kuamkia leo nchini kote.
Akizungumza kwa njia ya simu , Mangochie alisema kuwa, tayari maofisa mbalimbali wa Sensa wamejipanga kutekeleza majukumu yao ndani ya Wilaya hiyo na kutaka ushirikiano wa kutosha huku akiwaasa kuachana na vitendo vya kuchanganya mambo ya siasa, dini na mambo ya msingi.
“Tunaomba ushirikiano  wa kutosha kwa wananchi wa Geita ilikuwasaidia makarani wa sensa watakaopita sehemu mbalimbali na kupata maelezo ya kila mwananchi, na pia suala hili si la siasa wala dini ni la maendeleo yetu sote” alisema Mangochie.
Mangochie pia alisema kuwa Wilaya yake inatarajia kupokea Mwenge wa Uhuru ambao utazindua miradi 15, itakayogharimu kiasi cha Milioni 836.
“Tunatarajia kupokea Mwenge wa Uhuru kesho  na utazunguka Wilayani  na kuzindua miradi ya 15, yenye thamani ya zaidi ya milioni 836,  hii pia utakua hamasa kwa zoezi zima la kuhamasisha sensa ya makazi na watu” alisema Mangochie.
Aidha, Mangochie aliwataka wananchi kuepuka mambo ya misuguano kutoka kwa wananchi wanaopitia njia za kisiasa kwani zitaweza kuleta chuki na baadala yake wawapuuze.
Mwenge huo unatarajiwa kuingia Mkoa huo mpya wa Geita, katika  Wilaya ya Geita ukitokea Sengerema, Ambapo utazunguka kwa siku hiyo moja na kisha kuingia kwenye Wilaya zingine mpya za Mbogwe, Nyang’wale, Bukombwe na kisha Chato.