Sunday, July 8, 2012

GUMBA VILLAGE @KISARAWE DISTRICT - COAST REGION

 Nyumba ya mwalimu wa Gumba...nimeipenda
 Nyuma ya Bango ndo Garden yenyewe...duh
Bibi akiwa na Wali ndo wametoka siku chache zilizopita...ni mtu na dada yake...Bibi yeye anasema enzi zake alikaa mwaka mzima ndani akitawa ndo akaletewa Mchumba akolewa...alikuwa ni miongoni mwa wake wanne wa mumewe....ila hakuwahi kubahatika kupata mtoto.....wote hao ni Wazaramo...bibi akasema kuwa kipindi chao unaweza ukawekwa Mwali hata miaka 7 hadi upate mume, tofauti na siku hizi
Watoto wakicheza
 Mama akifanya mambo jikoni
Msosi Time

 Machenza...matamu hayoo
 Nikajitahidi kuchuma baadhi ya kula hapo hapo shambani kabla Babu hajanipa ya kubeba

Saturday, July 7, 2012

Thursday, July 5, 2012

From mellow yellows to citrus brights - Urban Look






Photo Credits: Dailymail

Bbq King Prawns

Bbq King Prawns Recipe at MyDish

Ingredients

  • KING PRAWNS
  • hand full coriander leaves chopped
  • inch ginger. finely chopped
  • 3 tablespoons sesame oil
  • 3 cloves garlic cloves. crushed
  •  salt and freshly ground black pepper
  • 1 fresh chillis

Method

  • Add all the ingredients together in a tight sealed container. Close and give a good shake.
    Either skewer the prawns or use a grill. Cook till pink. Beautiful 
  •  
  •  By

TRAIN BRIDGE COLLAPSES IN NORTH SUBURBS, LEADS FREIGHT TRAIN TO DERAIL

A train bridge collapsed near Shermer and Willow Roads in the northern suburbs Wednesday afternoon, causing a freight train to derail.

The bridge was along the Union Pacific tracks near the border between Glenview and Northbrook.
The accident occurred at 1:45 p.m., according to Union Pacific spokesman Mark Davis. The freight train of three locomotives and 138 cars, all loaded with coal, was on its way from Wyoming to a utility in Wisconsin when four cars derailed, Davis said.

Wednesday, July 4, 2012

CHALINZE - THIS WEDNESDAY

MBEZI













TOP 10 GHOST TOWNS OF AMERICA

If you’re asked to name America’s most thriving towns, chances are you won’t come up with Bodie, Cahawba or Centralia. But once upon a time, these areas were booming. Here are some photos of abandoned towns in the United States. Now they are simply ghost towns.
1. Ruby, Arizona



2. Bodie, California


3. Centralia, Pennsylvania


4. Flagstaff, Maine


5. Virginia City, Montana


6. Cahawba Alabama


7. Rhyolite, Nevada


8. Glenrio, Texas/New Mexico


9. Goldfield, Arizona


10. Gleeson, Courtland and Pearce, Arizona
Source

Tuesday, July 3, 2012

KUTOKA KWA MASANJA MKANDAMIZAJI....NIMECHEKAA

Ilitokea hivi karibuni!

Kulikua na mabosi wawili wa kampuni moja ambao walikua wanapenda sana kutoka pamoja hasa siku za mapumziko. Walikua wanawatumia madereva wao kuwapeleka kila wanapoenda.

Kama ilivo kawaida kila bosi hujuana na dereva wake au boosi kumjua vilivyo dereva wake. Siku moja, jumapili, wakiwa wametoka na kuelekea maeneo ya ufukweni walianza kuzungumza na mazungumzo yakawa hivi:

Boss 1: aisee nakuambia sijawahi ona dereva mjinga kama huyu niliyenaye!

Boss 2: aaaaah we waongea nini……….huwezi amini huyo dereva niliyenaye yaani hamnazo kabisa.

Wakaendelea kubishana kila mmoja akisema dereva wake ni mjinga zaidi ndipo ikabidi wathibitishe kwa kila mmoja kuonyesha ujinga wa dereva wake.

Boss 1 akamuita dereva wake.

Boss 1: eeeeh chukua hii elfu 20 nenda kaninunulie FLAT TV inch 50 dukani!

Dereva: sawa boss, vp niilete huku au nipeleke nyumbani?

Boss 1: ukiweza kununua ilete hapa.

Dereva akaondoka, boss 1 akasema: waona alivo mjinga yaani hata hajui kua kwa shilingi elfu 20 huwezi kupata FLAT TV INCH 50.

Wakacheka, Boss 2 akasema sasa ngoja umuone dereva wangu alivyo mjinga.

Boss 2: hebu nenda nyumbani kaniangalie kama nipo!

Dereva: sawa bosi

Dereva akaondoka, Boss 2: waona alivyo mjinga, mimi nipo hapa alafu ataenda nyumbani kuniangalia kama nipo

Wakacheka na kusema kweli huyu mjinga.

Upande wa pili wale madereva wakakutana na kuanza kuongea.

Dereva 1: huwezi amini sijawahi fanya kazi na Boss mjinga kama huyu.

Dereva 2: bora wewe mi wangu ni punguani kabisa hata sijui kapata wapi ubosi.

Dereva 1: sasa sikia kaniita sahivi ananiambia niende nikamnunulie FLAT TV inch 50, wakati anajua fika kabisa kua leo ni jumapili na jioni hii hakuna duka lililowazi kama sio ujinga ni nini??

Wakacheka!
Dereva 2: hahaha aisee ila hata hivyo hafikii kwa upunguani wa bosi wangu, eti kaniita pale ananiambia niende nyumbani kwake nikamuangalie kama yupo, ilhali anasimu pale angeweza tu kupiga kwa mkewe nyumbani amuulize kama yupo au lah na sio kunisumbua mimi mpaka niende kwake naharibu mafuta tu...!!

Wakabaki wakicheka kila mmoja kuendelea na alichotumwa!

Je nani mjinga???? Mabosi au dereva??

OLD IS GOLD

 1951
2012
Kitu cha lesi lesi kipo hewani