Sunday, July 8, 2012

GUMBA VILLAGE @KISARAWE DISTRICT - COAST REGION

 Nyumba ya mwalimu wa Gumba...nimeipenda
 Nyuma ya Bango ndo Garden yenyewe...duh
Bibi akiwa na Wali ndo wametoka siku chache zilizopita...ni mtu na dada yake...Bibi yeye anasema enzi zake alikaa mwaka mzima ndani akitawa ndo akaletewa Mchumba akolewa...alikuwa ni miongoni mwa wake wanne wa mumewe....ila hakuwahi kubahatika kupata mtoto.....wote hao ni Wazaramo...bibi akasema kuwa kipindi chao unaweza ukawekwa Mwali hata miaka 7 hadi upate mume, tofauti na siku hizi
Watoto wakicheza
 Mama akifanya mambo jikoni
Msosi Time

 Machenza...matamu hayoo
 Nikajitahidi kuchuma baadhi ya kula hapo hapo shambani kabla Babu hajanipa ya kubeba



 Mlimao na malimao yake mtini
 Pili pili Kichaa

 Kiazi kikuu
 Shina la Kiazi Kikuu...limetambaa hadi likapata support kwenye mpapai
 Kiota cha ndege
Mihogo
 Ukiona shina la muhogo ardhini pamepasuka hivi, ujue muhogo umekubali

 Bata
 Passions
Maua Pori

 Babu akiendelea kunichumia machenza
 Nyumba za walimu


 Shule imejaliwa kuwa na miti
 Madarasa
 Nadhani hawaja edit huu ubao tokea mwaka jana

Tanki la maji hapo shuleniwanavuna maji ya mvua
Tanki la maji
 Maeneo ya Shule ya Msingi Gumba
Hii ilikuwa nyumba ya mwalimu ilipobomoka akahamishiwa kwenye nyumba nyingine

Jumamosi yangu iliangukia huku kijijini...weekend njema wadau

3 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Ahsante kwa taswira..nimetamani hayo macheza..

Unknown said...

Hongera kwa safari bandugu sasa vipi mashamba ya bei nafuu b ado hapo huko gumba.0786 939291 my no.

Unknown said...

Add hi nzuri kiongozi hangers.vipi mashamba nafuu yapo