Monday, October 14, 2013

KILIMO HICHOOOOOOO CHAJA : MSIMU UNAGONGA HODI

Rural Life Style
Wakulima, msimu wa kulima huo uko kwenye kona. Tuzingatie Kilimo hasa kwa wale waliojipanga
Kama ni Miti kama hii haya, kama ni mahindi sawa, maharage, njugu, kunde, n.k.
Kila la heri wakulima wooote

Picha Shukrani sana DUMISHA a.k.a MWENYEKITI

No comments: