Thursday, August 22, 2013

TUNATEGEMEANA KATIKA MAISHA YETU


Maisha yetu ya kila siku tunategemeana kwa kila kitu. Ni kama huyo mama hapo pichani ili asonge ugali wake vizuri anatumia zana maalumu (kwetu tunaita mpanti) ili sufuria lisimsumbue wakati anapika ugali wake, na uive vizuri. 

Napenda niwatakie kazi/shughuli njema popote mlipo, tutegemeane kwa nia njema kabisa katika shughuli zetu ili kuongeza ufanisi na kipato pia.

No comments: