Monday, February 18, 2013

MCHANA WA LEO TUUPITISHE NAMNA HII

Tule ugali
 Na samaki waliokaangwa
 Au na Samaki waliochomwa
Hawa ni samaki ambao wamechomwa na wanalika vizuri sana
Na kachumbari pembeni yenye pilipili au isiyo na pilipili, ni wewe upendavyo tu
Ukishiba pumzika kidogo halafu ushushie na maji ya kunywa baridiiiii
Wakati umepumzika unakuwa unashushia na matunda kidogo kidogo

Nawatakia mchana mwema na mlo mwema

1 comment:

Unknown said...

Nimetamanije hao samaki nakachumbariii mate yantoka hapa....