Wednesday, October 10, 2012

CHUMBA CHA FIRST CLASS CHA TRAIN YA RELI YA KATI KIPO HIVI: MAMLAKA HUSIKA LIANGALIENI HILI KWA JICHO LA PILI

Vitanda vimeisha kweli kweli, inakuwa haina hadhi tena kuita First Class, marekebisho yafanywe


 Hii niliambiwa ni AC
 Kwa sasa zipo kama mapambo...hazifanyi kazi
 Sinki la maji, abiria huweka mizigo yaoo kama uonavyo
Testing kama maji yanatoka.........maji yapo muda wote kwa hili mmweweza, issue nyingine ni panya na mende, wengi mnoooo

3 comments:

emuthree said...

kama hiyo ni festi, hiyo thedi itakuwaje?

Interestedtips said...

yaani hiyo third ni balaaa

Yasinta Ngonyani said...

safi sana jamani...