Wednesday, August 1, 2012

ULISHAWAHI KUCHAT NA MUNGU MTANDAONI?????? HUYU HAPA SASA MUELEZE MATATIZO YAKO

Ni Joke Chat, ni program watu na akili zao waliwaza weeee wakatengeneza hiii, kama uko na muda ingia  HAPA 
Yaani inachekesha duh, majibu yatokayo humo ni balaa

1 comment:

kokusimah said...

Mh! Kazi kweli kweli