Tuesday, July 10, 2012

FANYA HIVI SHAMBANI KWAKO ILI KUYALINDA MAZAO YAKO YASIISHE

 Wakulima huwa ni wajanja sana na kila walimapo mpunga au mtama au ufuta nk. maranyingi wanafunga nguo kama hivi
 Ndege akiona hivi anajua binadamu yupo
 Hataweza kusogea eneo hilo anajua mwenye mali yupo
 Ona kama mtu vile
 Jamaa kasimama hadu kaptula inamshuka...ulinzi shirikishi
Mpunga wako utauvuna ukiwa haujaliwa sana na ndege

2 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Ni kweli mbinu nzuri sana maana kukaa hapa na kulinda mwenyewe utachelewa kufanya shughuli nyingine...

Interestedtips said...

UBUNIFU KAZINI