Friday, June 8, 2012

SHEREHE YA AQDI YA FATMA NA KASSIMU ILIYOFANA JANA UKUMBI WA CUTCH JAMAT - DAR

 Ukumbi ulipendeza hasa
 Shughuli ni watu, kupendeza ndo ilikuwa mpango mzima

 View ukiwa nje, dress code ilikuwa ni kiarabu
 Msosi time, mambo ya Biriani,chapati,ndizi, mishikaki ya samaki,nyama nk.vingine  nimesahu majina vilikuwa vitamu
Bibi harusi akiingia ukumbini, alipendeza hasa
Mikononi kachorwa hina matata, gauni nililipenda kwakweli

 Hijabu za kila rangi, ukumbini ilikuwa ni harufu ya udi

 Beautiful Ladies
 Watu na camera zao busy na matukio
 Sare zilikuwepo pia, Brown na Gold
 Mume aliingia ukumbini baada ya Ndoa, vigeregere vikapigwa
 Kila la Heri maharusi, Mungu awaongoze katika safari mliyoianza
 Watoto hawakubaki nyuma, hadi wakasinzia
 Wa kwanza kushoto mwenye Kiremba kichwani Faraji, ndo aliyetupa mualiko huu, shukrani sana
 Photo session
 Nadhani huyo mama pembeni ni somo wake, hakuwa mbali na bibi harusi
 Walipendeza mno
Nilikosa nguo ya kiarabu nikatinga na ya Kihindi......chezea mnuso

Picha zingine asante Maggie tulikuwa naye hatukuweza hata kupata nafasi ya kupiga wote picha

2 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Wamependeza kwa kweli nimependa mavazi yao maana wengi wanasema/fikiri ni nguo hasa gauni la bibi harusi ni lazima liwe jeupe.Mungu awape uvumilivu katika maisha ya ndoa. Ester nawe vituko eti nikatinga kihindi haya mdada umetoka chicha.

Interestedtips said...

alipendeza hasa mdada, yaani Yasinta nilitafuta kama nina hata Dera, holaa, nikutana na ya kihindi nikasema hii itanifaa, mbele ya Biriani duh