Tuesday, May 1, 2012

MEI MOSI 2012 WAFANYAKAZI TWAJIVUNIA NINI?

Mishahara bado ni duni, gharama za maisha zinapanda kila siku, kodi kubwa tunakatwa, bado mazingira magumu ya kazi tunayofanyia hizo kazi zetu, sifahamu kama mafao ya uzeeni yameshaboreshwa n.k. 

Je! pamoja na yote hayo kazi tunafanya kwa bidiiiiiiii? au kwakuwa hayo yaliyosemwa hapo juu yanasababisha tuwe wazembe kazini?


Jiulize swali hilo, utafakari kwa makini na uchukue hatua


HAPPY MEI MOSI DAY

No comments: