Wednesday, May 2, 2012

AJALI YA BASI LA NBS


Leo majira ya saa 4.00 asbh kumetokea ajali mbaya ya basi la NBS linalotokea Tabora kwenda Arusha, basi hilo lilipasuka Taili la mbele na kugonga mti na kuung'oa na kisha kupinduka.
hadi sasa kuna maiti sita zilizowasilishwa Mortuary na Dereva wa gari hilo pia ni marehemu ila bado maiti yake haijatolewa kwani amebanwa hadi basi hilo likatwe ndiyo atolewe


No comments: