Tuesday, May 20, 2014

WAKAZI WA JIJI LA DAR WAUNGANA NA MKUU WA MKOA, NA MEYA WA KINONDONI KUFANYA USAFI MTO MLALAKUWA


Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki akiungana na Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda walipoungana na wananchi kufanya usafi katika mto wa Mlalakuwa jijini Dar es Salaam ili kuepukana na ugonjwa uliozuka wa Dengue ambao umekuwa tishio wakati akizindua zoezi la kufanya usafi jijini lililokwenda kwa jina la ‘MLALAKUWA MTO WETU, AFYA YETU’ lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita.
 Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda (kushoto) akimuongoza Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki (katikati) kukagua  mto wa Mlalakuwa jijini Dar es Salaam wakati akizindua zoezi la kufanya usafi lililokwenda kwa jina la ‘MLALAKUWA MTO WETU, AFYA YETU’ lililofanyika lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita.
 Wakati zoezi la kukagua mto wa Mlalakuwa, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki na Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda walipata wasaa wa kupita na kumpa pole mkazi wa Mikocheni ambaye alikuwa amefiwa na Shemeji yake.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki na Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda pamoja na wananchi walioungana nae, wakiangalia jinsi mto Mlalakuwa ulivyoharibiwa kutokana na mvua zinazoendelea jijini Dar es Salaam.
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki (mbele) akiongozana na Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda kuvuka Mto Mlalakuwa kuongea na wananchi waliokuwa ng'ambo ya mto.
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki akiwahimiza kuhama wananchi wanaoishi pembezoni wa Mto Mlalakuwa kutokana na nyumba yao kubomoka na maji kama inavyoonekana.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki na Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda wakikagua mabanda ya mama lishe yaliyopo pembezoni mwa mto Mlalakuwa ambayo kwa kiasi kikubwa yapo katika hatarishi ya kuwapa wateja wao magonjwa yanayoambukiza.

  Hapa wakijionea jinsi maji machafu yanayotoka katika viwanda vilivyopo Mikocheni/Mwenge yakiingia katika Mto Mlalakuwa.
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki akiongea na mmoja ya viongozi wa Kampuni ya Coca Cola jinsi ya kuwasaidia mama lishe wanaofanya biashara kuzunguka kiwanda hicho maana wapo katika mazingira magumu yanayoweza kuchangia mlipuko wa magonjwa wakati wakizindua zoezi la kufanya usafi lililokwenda kwa jina la ‘MLALAKUWA MTO WETU, AFYA YETU’ lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar es Salaam. Katikati ni Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda.
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki (mbele) akiongozana na Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda wakielekea kuongea na vyombo vya habari mara baada ya kumaliza zoezi la kufanya usafi.
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki akitilia msisitizo suala la usafi kwa wakazi wa jiji ili kuepukana na ugonjwa uliozuka wa Dengue ambao umekuwa tishio wakati akizindua zoezi la kufanya usafi lililokwenda kwa jina la ‘MLALAKUWA MTO WETU, AFYA YETU’ lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar es Salaam. Pembeni yake ni Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda.
 Wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakioungana na viongozi wao kufanya usafi ili kuweka jiji salama.
 Kila Mmoja akiwajibika.
 Zoezi la usafi halikujali rangi wala taifa...
 Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akiongea na Mkurugenzi wa Kampuni ya Nabaki Afrika, Hamiliton wakati akizindua zoezi la kufanya usafi lililokwenda kwa jina la ‘MLALAKUWA MTO WETU, AFYA YETU’  lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar es Salaam. 
 Mto Mlalakuwa ukiwa safi mara baada ya zoezi kumalizika.
 Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akiongea na Mkurugenzi wa Kampuni ya Nabaki Afrika, Hamiliton wakati akizindua zoezi la kufanya usafi lililokwenda kwa jina la ‘MLALAKUWA MTO WETU, AFYA YETU’ lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar es Salaam. 
 Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda (kushoto) wakizoa uchafu na viongozi wa manispaa ya Kinondoni akiwemo Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Mhandisi Mussa Natty (kulia) wakati wa zoezi la kufanya usafi lililokwenda kwa jina la ‘MLALAKUWA MTO WETU, AFYA YETU’ lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Mhandisi Mussa Natty akiwa amebeba uchafu mara baada ya kumaliza kufanya usafi.
 Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akiongea na Mkurugenzi wa Kampuni ya Nabaki Afrika, Hamiliton pamoja na wananchi wakati akizindua zoezi la kufanya usafi lililokwenda kwa jina la ‘MLALAKUWA MTO WETU, AFYA YETU’ lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar es Salaam. 
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akiongea na Mkurugenzi wa Kampuni ya Nabaki Afrika, Hamiliton wakati akizindua zoezi la kufanya usafi lililokwenda kwa jina la ‘MLALAKUWA MTO WETU, AFYA YETU’  lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar es Salaam. 
Umati wa Wananchi waliohudhuria katika shughuli hiyo.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Nabaki Afrika, Hamiliton akitoa shukrani zake za pekee kwa wananchi waliofika kufanya usafi pamoja.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Nipe Fagio, Said Swale akiongea machache.
Mc Taji Liundi nae alipata nafasi ya kuongea macache.
Viongozi wa makampuni mbali mbali waliohudhuria wakati akizindua zoezi la kufanya usafi lililokwenda kwa jina la ‘MLALAKUWA MTO WETU, AFYA YETU’

Tuesday, April 29, 2014

MAZINGIRA YA HIZI PICHA NIMEYAPENDA

RIHANNA AKIFANYA YAKE
KAMA AFRIKA YETU

HISTORIA CONCERT NI IJUMAA HII TAREHE 2/MAY/2014

Tar 2 May 2014 Saa 3:00 usiku mpk late Tickets ni 20,000 na VIP 50,000 plus dinner n wine. Zinapatikana Nyumbani Lounge Shear Illusions -Mlimani City American Nails n hair salon City Sports Lounge Million Hairs Salon. Kwa walioko Dar es salaam. Historia concert feat: Prof Jay , Roma & Machozi Band Ijumaa hii

Monday, April 28, 2014

PHOTO OF THE DAY

LUPITA

SAD STORY: MY DAD MURDERED OUR 6 MONTH OLD BABY TO SAVE US

Sounds like a scene from the holocaust movie, The Pianist. But just in case it's real, please read and advice.
I am 19years old. My  parents and I were based in the north but recently we just moved to our village in Owerri due to the destruction of our house and properties in Yobe state.
In the 2013, there was an attack in our area by BokoHharam. So many people were killed so we had to hide somewhere for our safety and we were 3 kids, my parents and our last child who was 6month old. While hiding, the Boko Haram gun men were aproaching us. Hearing the sound of their guns, our 6month old baby started crying and the men were not far from us.
So, my dad needed to save us and he strangled the baby to death. Now the five of us are alive and healthy but staying in the village. My mum is yet to get over the fact that our baby was killed to save us all, she keeps blaming my dad for killing her child. Now, she wants a divorce. Please I will like to know, did my dad do anything wrong by killing the baby to save us?

Sunday, April 20, 2014

EASTER TREATS: EASTER CHICKEN WITH GARLIC AND TARRAGON WITH HONEY AND THYME GLAZED CARROTS


Invite the family round for a delicious roast chicken this Easter


Serves 4
1.5kg/3lb 6oz oven-ready chicken
2 lemons
1 bay leaf
2tbsp butter, softened
3tbsp finely chopped tarragon leaves
1tbsp olive oil
40 garlic cloves (3-4 bulbs) unpeeled 
10 shallots, peeled
150ml (5fl oz) vermouth
250ml (9fl oz) chicken stock
100ml (3½fl oz) double cream
Preheat the oven to 200C°/fan 180C°/gas 6. Remove any string from the chicken and place one of the lemons and the bay leaf inside the cavity. Brush the butter all over the chicken. 
Generously season the chicken inside and out with sea salt and freshly ground black pepper. Sprinkle with 1tbsp of the chopped tarragon over all sides. Add the whole garlic cloves and shallots to the casserole, nestling around the chicken. 
Cut the remaining lemon in half and add to the casserole. Pour over the vermouth and chicken stock. 
Cover the casserole with a tight-fitting lid, bring the liquid to a simmer on the hob, then transfer to the oven for 1¼-1½ hours (depending on size), or until the chicken is thoroughly cooked and the garlic is completely softened. 
Carefully transfer the chicken, garlic and shallots to a warmed platter and cover with a couple of dry tea towels. Skim off any fat that rises to the surface of the liquid in the casserole and discard. Return the casserole to the hob and stir in the remaining tarragon and the cream. 
Bring to a gentle simmer, stirring. Cook for 4-5 minutes. Season to taste and pour into a warmed jug. Carve the chicken and serve with the tarragon cream sauce



These carrots are the perfect accompaniment to the chicken

Honey and thyme glazed carrots
Serves 4
600g (1lb 5oz) Chantenay carrots
2tsp lemon thyme leaves
450ml (14fl oz) orange juice
50g (1¾oz) butter
1tbsp orange blossom honey
Thyme sprigs, to garnish
Trim and peel the carrots and cut any large ones in half so that they all cook at the same time. Place in a shallow pan with the lemon thyme, orange juice, butter and honey. 
Cook  gently, covered, for around  15-20 minutes, until the carrots are tender and the juice has reduced by at least half to make a nice sauce. 
Season well and serve, garnished with the thyme.

ENJOY UR EASTER....RECIPE FROM HERE

Thursday, April 17, 2014

FAN CITY YAJIPANGA KUTOA BURUDANI YA KIPEKEE KWA WATANZANIA PASAKA

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Green Stars Industry inayomiliki eneo la FAN CITY Bw. Hasan Rizvi akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani) mashine za michezo mbali mbali itakayotolewa kipindi cha sikukuu ya Pasaka wakati wa mkutano alioufanya katika eneo la Fun City Kigamboni jijini Dar es Salaam. Pia aliongeza kuwa kwa sasa kampuni yake imeeongeza mitambo yenye uwezo wa kutengeneza mawimbi ya aina sita tofauti kwenye bwawa kubwa la kuogelea.
Mitambo ya kisasa iliyofungwa katika eneo la Fun City ambayo itawawezesha wananchi kupata burudani kabambe zenye ubora wa kimataifa kwani hakuna mahali popote Afrika Mashariki mitambo hiyo.
Mawimbi yanayotengenezwa kwa mitambo ya kisasa katika bwawa kubwa la kuogelea lililopo hapa Fun City,
Moja ya Bwawa la kuongelea.
Mkurugenzi Mtendaji wa Fan City, Bw. Hasan Rizvi  akionyesha vigari vya mchezo.
Bembea za kutosha.
Bembea za watoto.
Mapokezi ya Fun City.
Eneo la Fun City linasehemu ya Ibada. 
 Sehemu ya huduma ya kwanza nayo inapatikana hapa.
 Sehemu ya moja ya sehemu ya bembea za magari ikiongesha madhari nzuri za kiota cha burudani cha Fun City.
Vigari vya umeme vinavyopita ndani ya maji.
*YAFUNGA MITAMBO YA KISASA KWA AJILI YA MICHEZO YA KWENYE MAJI
Na Mwandishi Wetu, Dares salaam
Wakati Watanzania wakiwa kwenye maandalizi ya sikukuu ya Pasaka kampuni ya Green Stars Industry inayomiliki eneo la FAN CITY limeongeza mitambo yenye uwezo wa kutengeneza mawimbi ya aina sita tofauti kwenye bwawa kubwa la kuogelea.
Mtambo huo wa aina yake utaongeza hamasa kwa waogeleaji kuhisi kama wapo baharini.
Akizungumzia mtambo huo Mkurugenzi Mtendaji wa Fan City, Bw. Hasan Rizvi amesema, lengo la kuoberesha michezo hiyo ni kuwawezesha watanzania kufurahia michezo hiyo pamoja na familia zao wakati huu wa Pasaka.
Ameongeza kuwa mitambo ya kisasa iliyofungwa katika eneo lake itawawezesha wananchi kupata burudani kabambe yenye ubora wa kimataifa kwani hakuna mahali popote Afrika Mashariki mitambo hiyo inapatikana.
“Tumefunga mtambo huu ambao utakua ukitengeneza mawimbi ya aina sita tofauti kwenye bwawa kubwa la kuogelea lililopo hapa Fan City, lengo letu nikutoa burudani zaidi kwa watu wanaotembelea hapa”.Alisema Rizvi.
“Tumefanya uwekezaji wa mashine za kisasa za michezo mbalimbali kwenye eneo letu ili kutoa burudani nzuri na za kipekee kwa wananchi wanaotembelea eneo hili na hasa wakati huu wa Pasaka”. Alisisitiza Rizvi. Fan City iliyopo Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Fun City imekuwa ikitoa burudani safi ya michezo mbalimbali kwa familia na katika kipindi hiki cha Pasaka imeandaa michezo kama Sarakasi, Mazingaombwe na zawadi kemkem kwa watakaotembelea eneo hilo. Picha zote na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog

THE DUKE DUCHESS CAMBRIDGE VISIT FIRE RAVAGED COMMUNITIES BLUE MOUNTAINS





Monday, April 14, 2014

UKATILI ULIOKITHIRI


Oneni ukatili uliokithiri huyo mtoto alikuwa anaamulia ugomvi WA mama anapigwa na Baba, hatimaye yeye ndo kapigwa na mti na Baba yake mzazi.

   Baba anaitwa Mussa Mgogo mtoto anaitwa Manzala Musa




Huyu ndo Baba mzazi WA mtoto

Hii imetokea Lukali wilaya ya Bahi - Dodoma