Monday, November 18, 2013

TUELEKEE KUSINI MWA TANZANIA

 Mwanaume kazini - Mtwara

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana na ujumbe wake wakipata chai nyumbani kwa Balozi Said katika kijiji cha Mchomoro,wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma
 Haloo Namtumbo
 Sugua Gaga
 Nikiona hivi nakumbuka enzi zangu
 Ndani ya moja ya kiwanda cha korosho wilayani Tunduru mkoani Ruvuma 
 Nape Nnauye akizungumza na wafanyakazi wa kiwanda cha korosho wilani Tunduru mkoani Ruvuma
 Korosho zikichambuliwa kwenye moja ya kiwanda wilayani Tunduru mkoani Ruvuma

Picha zote kwa hisani ya Michuzi Jr wa Jiachie Blog

1 comment:

Yasinta Ngonyani said...

eeehhh karibu na kunyumba..ila duh Bibi naye kazidi hata kusugua guu hakuna...Watoto hao darasani nimekumbuka mbaliiii na huo mkaa aisee kaaaazi kwelikweli.