Saturday, April 6, 2013

YANAYOJIRI BEACH KIDIMBWI KINONDONI BLOCK 41 - DAR

  Nikiwa na rafiki Beach Kidimbwi mida ya jioni baada ya kazini
 Marafiki tukipiga story za hapa na pale
 Hizi mvua zinazoendelea Dar zinasababisha madimbwi kujaa hasa ya barabarani......nasi chini ya miti hiyo huwa ni sehemu yetu ya kupumzika na kukutana na marafiki mbali mbali tukibadilishana mawazo....tukapaita Beach Kidimbwi
 Kuna kimvuli kizuri tu cha huo mti, kipindi cha kiangazi ni ukame na vumbi hasa magari yakipita kwa kasi
 Bajaji ikakwama hapo ikapata msaada kutoka kwa rafiki ikatolewa
 Mvua ikipamba moto napo panapamba moto maji kujaa
 Biashara ya nguo tukitembezewa na wamachinga
Biashara ya vitumbua ikiendelea nyakati za asubuhi

NAWATAKIA JUMAMOSI NJEMA YENYE AMANI....TUEPUKANE NA VURUGU ZISIZOTULETEA MAENDELEO

No comments: