Thursday, March 28, 2013

USAFI NA USALAMA WA CHAKULA NA MAJI: SEHEMU YA KWANZA


Usafi wa mtayarishaji wa chakula

1. Osha mikono kwa sabuni na maji yanayotiririka na ya kutosha kabla ya kutayarisha chakula au baada ya kutoka chooni.


2. Hakikisha usafi wa mwili na nguo.


3. Funga vidonda vilivyoko kwenye mikono wakati wa kutayarisha chakula.


Nawatakia alhamisi njema, tukutane wakati mwingine

No comments: