Wednesday, February 27, 2013

KUMBUKUMBU YA VITA YA MAJI MAJI SONGEA

Mashujaa wa vita ya Majimaji kabla ya kunyongwa

Wazee wetu wa kingoni wakiwa wamevaa kijadi na kucheza ngoma asili
Mgeni rasmi Balozi Kagasheki akiambatana na Chief Zulu kwenye maandamano
Mnara wa ukumbusho..... hapa ndo waliwanyonga mashujaa wa vita vya Majimaji Songea - Tanzania
Gwaride la heshima ukumbusho wa vita vya Majimaji 
Mama amepata mshtuko mkubwa baada ya milipuko ya heshima kumbukumbu ya vita ya Majimaji
Kaburi la Chief Songea Mbano
Chief Songea Mbano .. nduna wa nduna .. Jemedari wa wangoni .. shujaa wa vita ya Majimaji
Check number 61 out of 66 Majimaji war heroes .. Mkomanile ni mwanamke na nduna yaani sub chief.
Kikosi cha wapiganaji wa vita ya Majimaji wakiwa chini ya ulinzi ndani ya ngome ya Wajerumani
Area that Majimaji war extended.. tusiwabeze watu wa kusini hata siku moja ni mashujaa kweli hawakukubali kutawaliwa!
Maria With Davis Tillya chief cameraman Compass Communications and great grandson of Chief Songea Mbano hero

Picha kwa hisani ya Maria Sarungi

1 comment:

Yasinta Ngonyani said...

Ahsante kwa kumbukumbu hii inabidi kweli tuwakumbuka mashujaa hawa...