Wednesday, February 13, 2013

JUMATANO YA MAJIVU: 13/02/2013



Funga siku ya jumatano ya majivu, usile nyama siku ya Ijumaa kuu.

Kwa wale Wakristu wote nawatakia Kwaresma Njema yenye unyenyekevu mbele ya Mwenyezi Mungu, tukikumbuka mateso ya Bwana wetu Yesu Kristu pale Msalabani alipokufa kwa ajili yetu, tujifunze kusamehe, kutubu dhambi zetu na kukumbuka ibada ikiambatana na kusaidia wasiojiweza.

No comments: