Wednesday, January 2, 2013

JUA LINAPOKUWA KALI NA JOTO LINAFUKUTA TAFUTA KINYWAJI BARIDI

Mr. Kyelula akiwa anashushia Coke baridiiiiiii baada ya kupigwa na jua kali.....ni mdau mkubwa wa blog yetu, akifurahia pia kuuona mwaka mpya 2013, anawatakia heri ya mwaka mpya wadau wote wa blog hii.

No comments: