Saturday, December 8, 2012

IKIFIKA DESEMBA AKILI MARA NYINGI INAWAZA TABORA NIMEPAKUMBUKAJE SASA....

 Uyoga......yaani msimu wa mvua wanafaidijeeeee????????
 Komamanga hilooo
 Baba na Bamdogo
 Kaka zangu hao....huyo mweupe twamwitaga mchina maana ana weupe mkali kweli, jua tu lamuunguza kaka ....hahahahah
Duh mbwa wa Dogo...
 Kijijini kwetu Tuli......baba na mkwewe
 Mama mzaa chema naye tulikuwa naye kijijini......mimi kumbuka yeye sana
 Sijui mwaka huu mvua itakuwa nzuri wakulima wafaidi kilimo
 Baba na mwana
 Ukiwa na kiu Maji ya shambani matamu mno
Nawatakia Desemba njema wapendwa na msherehekee vema sherehe zijazo

5 comments:

kokusimah said...

Oh wow nimefurahije kuona hizi picha? Asante my wii December mwezi wangu huu was barn in December naupendaje? Sema Huku na mi snow Yao wananiboa napanga miaka ya mbele December nisiwe huku ili niifaidi vizuri. Kisses

Interestedtips said...

my wii poleni sana na Snow....desemba uwe unakuja bongo tule na cake pamoja...hahaha

Interestedtips said...

my wii poleni sana na Snow....desemba uwe unakuja bongo tule na cake pamoja...hahaha

Yasinta Ngonyani said...

Nami nimetamani huo uyoga kweli ..picha nzuri nimezipenda halafu naona umefanana kweli na baba...

Mija Shija Sayi said...

Esther umefanana na wazazi wako ni balaa..