Thursday, July 19, 2012

VIWANJA VYA MAISARA LEO BAADA YA AJALI YA MELI YA MV. SKAGIT ILIYOTOKEA JANA

 Baadhi ya wananchi waliozitambua maiti zao wakisaidiwa na askari
 Baadhi ya maiti za watoto, inasikitisha sana jamani
Baadhi ya wageni kutoka nchi mbali mbali wakiwa katika viwanja hivyo ili kujua ndugu zao na kupata utaratibu mwingine

HADI MCHANA HUU MAITI ZILIZOPATIKANA NI 39 KWA MUJIBU WA KAMANDA WA POLISI ZANZIBAR

POLE NYINGI SANA KWA WAFIWA, MUNGU AZIDI KUTUPA UJASIRI KUKABILIANA NA HALI HII

KWA MATUKIO ZAIDI TEMBELEA ISSA MICHUZI BLOG

2 comments:

Mitha Komala said...

wow did something happen to them? their faces look sad, hope everything will be fine! =) xx

Letters To Juliet

Interestedtips said...

Mitha Komala...disaster at sea,The accident took place at Pungume, about 48km from Zanzibar - Tanzania