Thursday, April 19, 2012

MTAANI JIJINI ARUSHA NA SHUGHULI MBALI MBALI ZIKIENDELEA




Hii ni hatari kwakweli

Wakina mama wakiwa busy na biashara
Pata Mafenesi kwa bei poa
Pata mboga za majani kwa afya


Urembo huo jamani


Chalii yangu nipige picha vizuri aisee, ununue na carrot
Ndani ya soko kuu la Arusha

Biashara ndogo ndogo zikiendelea kama huyu dogo na karanga
Karibu vitunguu dada




Mama na watoto, bila kusahau kuni za kupikia
Sasa ni masika, kilimo kwanza

No comments: