Monday, March 5, 2012

MSIMU WA MVUA DAR HUWA NI KASHESHE

 Ilinyesha kidogo tu lakini ona maji yalivyojaa
 Miundombinu ya barabara zingine kukosa mitaro ndo maana Dar asilimia kubwa huwa hatupendi mvua inyeshe
 Ikinyesha hata robo saa, hiyo foleni yake ni balaa
 Ona bara barani karibu na maeneo ya Salenda Bridge, mvua haikunyesha sana, lakini maji yalianza kujaa
 Miundombinu hasa kuweka mitaro ya maji ni muhimu sana, sehemu husika iangalie hili, kwani inasaidia kuepusha mengi
Madimbwi kila mahali, pa kukanyaga tu ili utembee ni matope, sehemu kubwa maji yametuama

1 comment:

kokusimah said...

Du! jamani Tanzania yetu, maisha bora kwa kila mtanzania inasikitisha sana jamani. Mungu ibariki Tanzania na watu wake.