Friday, August 31, 2012

JUZI NILIKATIZA MITAA AMBAYO INANIKUMBUSHA UKOMAVU WANGU WA MAISHA YA KUJITEGEMEA ULIANZAJE

 Experience tuipatayo wakati ndo unaanza maisha ya kujitegemea kila mtu anaijua yeye mwenyewe
 Hasa ndo umetoka Shule/Chuo unasema sasa naanza maisha yangu....unajipangia kila kitu wewe mwenyewe
 Niliwahi kuishi mitaa hii wakati ndo nimeanza maisha..........baada ya kumaliza chuo
 Huo mshale mweusi unpoelekeza ndo kona ya kuelekea nilipokuwa nimepanga
 Enzi hizo palikuwa hakuna Rami kabisaaa...ni mwananyamala kwa kopa......juzi nilipita nikapakumbuka sana
 Nilipata taswira ya mambo yaliyokuwa yakiendelea mtaani huko
 Kwanza huo mtaro unaouona umejengwa kipindi hicho ulikuwa haujajengwa, palikuwa ni vumbi na magari yalikuwa yanapiata hapo.....kasheshe ilikuwa mvua ikinyesha...siku hiyo siendi job...nitajitahidi niwaambie naumwa...yaani maji yalikuwa yanajaa...halafu hayaeleweki yana kila rangi, nilikuwa nalala tu...ikinyesha mfululizo nakumbuka nilikuwa na maviatu yangu makubwaaaa nayavaa walau niwe juu juu maji yasinipate, nikifika job nabadilisha...uzuri ofisi ilikuwa jirani na home kwa kutembea ni 5-10 minutes
Hapo ukiingia kulia baada ya hako kauchochoro ndo kuna nyumba niliyokuwa naishi...pichani haionekani......Zilikuwa zinapigwa taarabu ni balaaa.....karibia kila nyumba halafu sauti kubwaaaa...sijui walikuwa wanatambiana....yaani nikikumbuka nacheka mwenyewe...uzuri wa magenge ya huku nilikuwa naaford sana bei zao...unakuta nyanya fungu hadi shiling 100 unapata, vitunguu vitatu vidogodogo shilingi 50, maisha yalikuwa Cheap.....Kodi nakumbuka kwa mwaka nililipaga 180,000/- ila nilikaa miezi 11 nikahama.....sasa nyuma ya dirisha palikuwa ni kituo cha wavuta ganja, humo ndani kizungu zungu kilikuwa kinanikoma.....ikabidi tu nihame.......ukweli huwa nakumbuka mambo mengi sanaaaaa.......halafu nacheka, nafurahi kuwa ndo ulikuwa msingi wangu wa kuanza kujitegemea na kupanga maisha yangu yaweje...........KWA MIMI NI KUMBU KUMBU NZURI SANA

WADADA WA MIJINI NAJUA SANA KUWAPENDELEA

WEEKEND NDO HIII.......UNA MTOKO?????? WAWEZA PENDA MUONEKANO HUU
MIMI PENDA SANA WAGENI WANGU HUMU NDANI

Thursday, August 30, 2012

LUGHA YETU SIO TAMU AU HAIFIKISHI UJUMBE?


NENO LA LEO


STAND UP COMEDY: EVANS BUKUKU ON 28/08/2012





 Mchekeshaji Maarufu Nchini kutoka Vuvuzela Entertainment,Evans Bukuku akikafanya vitu vyake usiku wa kuamkia leo katika kiota cha maraha cha Nyumbani Lounge,Namanga jiji Dar wakati wa Shoo yake ya kuvunja mbavu za watu (kuchekesha katika stand up comedy).
 Evans Bukuku akiendelea kuchana mbavu za watu kwa vituko vyake wakati wa Shoo yake ya kuvunja mbavu za watu (kuchekesha katika stand up comedy) iliyofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye kiota cha maraha cha Nyumbani Lounge,jijini Dar.
 Evans Bukuku akimuuliza mmoja wa wadau wake swali la kizushi kuhusiana na mambo ya kuchimba dawa safarini.
 Dogo Pepe wa Vuvuzela akionyesha umahiri wake wa kuvunja watu mbavu kwa kucheka wakati wa shoo yao iliyofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye kiota cha maraha cha Nyumbani Lounge,jijini Dar.
 MC wa Shoo hiyo alikuwa ni Taji Liundi nae haachi kuchekesha awapo stejini.
 Enika akiimba nyimbo za vichekesho.
Mmoja wa Wadau wakubwa wa Stand up Comedy za Evans Bukuku,aitwaye Ester Ulaya nae hakuwa nyuma kuotoa kituko chake wakati shoo hiyo ikiendelea.
 Kila aliefika ukumbini hapo hakuacha kucheka kwani vichekesho vilinoga ile mbaya.

Wednesday, August 29, 2012

Spanish Magazine Courts Controversy with Michelle Obama Cover

Photo courtesy of El MundoMichelle Obama has graced magazine covers from Time to People to Vogue looking powerful, beautiful, and downright regal, but now a Spanish magazine is picturing her bare breasted, and as a slave. 
The cover of Magazine Fuera de Serie, which is widely available in Spain as a newspaper lifestyles supplement, shows the first lady's face superimposed onto an 1800portrait of a female slave by Marie-Guillemine Benoiste, a French neoclassical painter.

According to the magazine's editor, the picture is meant to honor Michelle Obama who they call the "gran mujer" (great woman) who "conquered the heart" of the man who would be president and "seduced the American people."

WANAWAKE WA MALI NA BURKINA FASO







NASHUKURU SANA MDAU WA BLOG HII KWA MATUKIO HAYA

Monday, August 27, 2012

JANA NILIHESABIWA.........SENSA 2012

 Jana nimekaa ndani hadi saa 11 jioni wana sensa hawajapita...ile natoka ndani tu nimefunga mlango nikafanye mizunguko, naona Karani anaingia
 Ikabidi nihesabiwe nikiwa nimesimama hapo hapo nje...na karani hakuwa na hiyana
 Nikaanza kuhojiwa...nikatoa ushirikiano woteee
 Alikuwa anatik kila nikimjibu swali
Hapa alikuwa ananiambia dodoso langu lina maswali 37...wapo ambao wana wanaulizwa maswali hadi 60

Kwa wale ambao hamjahesabiwa....mtahesabiwa tu, ndo maana kuna siku 7

SHOCKING: 10 year old delivers TWINs in Kisumu after RAPE from HIV+ father


Sunday, August 26, 2012 - A 10 year old class four pupil at a public school in Kisumu is alleged to have delivered twins at a local hospital in the area. The girl is said to have been impregnated by her father who has been using her as his wife after her mother died.

The young girl has been a subject of ridicule by other children in the area as she stopped going to school to deliver her babies first. Neighbors said that the girl declined to confide in them on the man responsible for her pregnancy when they discovered she was expectant.