Monday, October 6, 2014

BIRTHDAY TRIP TO “XEFINA ISLAND - MAPUTO

Nikapewa zawadi ya Cake toka kwa Group, imeandikwa Kireno.


 Kwa upepo wa bahari ya Hindi ilibidi nikitumie kikoi changu ipasavyo
  Birthday Lady
Nikiwa na wamiliki wa Boat hii .... Mmoja aliwahi kuishi Zanzibar na mwingine aliwahi kuishi Dar akifanya kazi Wazo Cement... kwasasa wamestaafu wanaishi hapa Maputo wakifanya biashara moja wapo ni hii Boat yao. Kila jumapili inakuwa inapeleka watu kisiwani, wanafanya biashaa huku na wao waki enjoy. Maisha matamu bila stress

John and Marumoto
Parker
Andy


Tukabadilishana, ila kwenye playlist yake zimejaa nyimbo za watanzania, kweli wakenya wanatukubali




Mkenya, Mmalawi, Mkenya, Mtanzania na Mkenya
Marumoto, Andy and Parker at the Island
At Xefina Island
Balozi wa Canada na mwanaye kisiwani

Moja, mbili, tatuuuu
Huyooo
Huyoooo
Wapenda kuogelea wakifanya hivyo


Wahudumu
Na siku ikaisha hivyo, Asante Mungu

2 comments:

sam mbogo said...

Kwanza nikupongeze kwa siku yako ya kuzaliwa.Hongera sana mama Elvine. kumbe nilikuwa na kosa uhondo wa picha kutoka msumbiji, hakika nimetamani sana kutembelea nchi hiyo. nikitu ambacho nimekiweka akilini lazima kunapo uhai nitemabelee msumbiji na Angola. haya karibu tena nyumani. kaka s

Interestedtips said...

Asante sana kaka Sam..kweli kuzunguka kunasababisha una enjoy na kurefresh na kujua wengne wanaishije