Monday, April 14, 2014

UKATILI ULIOKITHIRI


Oneni ukatili uliokithiri huyo mtoto alikuwa anaamulia ugomvi WA mama anapigwa na Baba, hatimaye yeye ndo kapigwa na mti na Baba yake mzazi.

   Baba anaitwa Mussa Mgogo mtoto anaitwa Manzala Musa




Huyu ndo Baba mzazi WA mtoto

Hii imetokea Lukali wilaya ya Bahi - Dodoma



2 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Haki ya Mungu mpaka machozi yamenitoka. Wawezaje kuwa mkatili kwa damu yako?... na je mtoto wa jirani?

Interestedtips said...

ni Ukatili hasa dada