Friday, February 22, 2013

WATOTO NI BARAKA NDANI YA NYUMBA.....HAIJALISHI UMEZALIWA KATIKA FAMILIA IPI

Wiz Khalifa na mwanaye

Nawatakia Ijumaa njema, tuzidi kuwafariji watoto wetu hasa waliomaliza Form IV mwaka huu, tutafute kila namna ya kuongea nao wasiendelee kujinyonga hasa wale waliofanya vibaya, hii inasikitisha mno.

1 comment:

Yasinta Ngonyani said...

nawe pia uwe na ijumaa njema ..ahsante kwa bonge la ujumbe