Wednesday, September 19, 2012

SARANDA: SHERATON HOTEL ILIYOPO SINGIDA

Hapa ndo Saranda kuku wengi mnoooooo....wengine hadi wanataniaga kuwa hao siyo kuku ni Mwewe.....Mwewe gani ana paja kubwa hivi???????
 Maji yanazwa kwa kikombe
 Nyomi la haja.........moshi kuashiria kuna majiko yanafanya kazi
 Maji kikombe kimoja shilingi Mia 
 Biashara zikiendelea
 Mikooooooooooo
 Pia Waomba misaada wapo kama babu huyo

 Haya maaaji......haya maaji
 VYUKUUUUUUUUU
 WOTE KWENYE MSTARI....KUKU MZIMA WA KIENYEJI AMESHACHOMWA 5000/-
Babu ametengeneza kopo special na mti anaomba chochote kwakuwa Train ipo juu  hivyo mwenye chochote amdumbukizie humo

No comments: