Wednesday, April 4, 2012

TUKIELEKEA SIKU YA PASAKA, HAPA NA PALE SIKU YA JANA MAENEO YA KARIAKOO JIJINI DAR

Tukikaribia siku za sikukuu maranyingi kariakoo huwa pako busy sana, na bidhaa nyingi huuzwa kwa mapunguzo ya bei, watu huwa wako busy sana na manunuzi, pata kuenjoy baadhi tu ya picha nilizopiga jana, ingawa ni nyingi ila ni baadhi ya zile nilizozinyaka. Enjoy
 Lango kuu la kuingilia kariakoo ndani
 Mitaa
 Watu busy
 Eti hii ni mitego ya panya, muuzaji alikuwa anasema ni ya kitechnology zaidi
 Unapata viazi vikiwa vya motooo, inaivaa ikiwa kwenye torori inaiva
 wachina hao, wakinunua maji kwa muuzaji
 Kofia pia kwa wingi
 Hili duka ni la wachina, wanauza wao wenyeweeeeeeeee, mapazia kibaoooo
 Cashier ni dada mchina, nikamuomba anipunguzie bei akanijibu "HAILIPI" kiswahili kinapanda si mchezo
 Huyu naye yupo duka hili, wapo wachina watatu, anasema tokea aje Tz ana mwaka mmoja, lakini kiswahili kinatamkwa hapo, duh
 Nguo ndo usiseme
 Wallet zimetandazwa chini kwa bei poa kabisa
 Nunua mama upendeze kama uonekanavyo
 Wale wa boarding school mwakumbuka Trancer?????
 Ndo yamebaki mafungu sita awe amemaliza biashara
 Wauza mifuko nao kazini
 Urembo wetu wadada ndo huo
 Pilau Pilau, viungo ndo hivyo vingi tu, siku ya pasaka ni pilau kwa kwenda mbele
 Masufuria yanapendeza zaidi hasa ukisugulia hizi steel wool
 Anauza Jiko
 Hufi njaa ukiwa kariakoo
Hivi navyo vipo

Nawatakia maandalizi mema ya Pasaka
Mimi penda nyie sana

No comments: