Sunday, February 19, 2012

COMING SOON......... STAY TUNED

Unapenda kujua ni nini na nini na kipi kilitokea hapo? Muda si mrefu utapata kujua yaliyojiri katika shule ya Wasichana iliyoko Mpanda Jimbo la Waziri Mkuu wetu  Mheshimiwa P. Pinda

2 comments:

Simon Kitururu said...

Napenda kujua yaliyojili khuko kwa Papa Waziri MKUU!

Pamoja sana Ester!

Interestedtips said...

Mtakatifu pamoja sana, utafahamu tu