Tuesday, April 10, 2012

NI KUELEKEA MAKABURINI - MAJONZI TELE SIKU YA LEO, BYE THE GREAT KANUMBA


Kuelekea makaburini, gari lililobeba Maiti 
 Umati wa watu ukisindikiza mwili wa marehemu makaburini

Wananchi wanakimbia kuelekea makaburi ya kinondoni uku wakiita jina la kanumba RIP Steven Kanumba


Hapa ndipo atakapolala marehemu
 Watu hadi juu ya miti makaburini
Polisi sasa wakifanya kazi yao
Wema sepetu azimia makaburini kabla ya mwili wa kanumba kufika

Leo Askari kazi wanayo

 Asante kwa matukio yanayoendelea hapo Leaders Club na makaburini kupitia Twitter Ndugu Michael Mlingwa

1 comment:

wise monica kaaya said...

Tunashukuru sana kwa taarifa izi jamani wengine hatukuweza kufika