Mashujaa wa vita ya Majimaji kabla ya kunyongwa

Wazee wetu wa kingoni wakiwa wamevaa kijadi na kucheza ngoma asili

Mgeni rasmi Balozi Kagasheki akiambatana na Chief Zulu kwenye maandamano
Mnara wa ukumbusho..... hapa ndo waliwanyonga mashujaa wa vita vya Majimaji Songea - Tanzania
Mnara wa ukumbusho..... hapa ndo waliwanyonga mashujaa wa vita vya Majimaji Songea - Tanzania

Gwaride la heshima ukumbusho wa vita vya Majimaji

Mama amepata mshtuko mkubwa baada ya milipuko ya heshima kumbukumbu ya vita ya Majimaji
Kaburi la Chief Songea Mbano
Chief Songea Mbano .. nduna wa nduna .. Jemedari wa wangoni .. shujaa wa vita ya Majimaji
Check number 61 out of 66 Majimaji war heroes .. Mkomanile ni mwanamke na nduna yaani sub chief.
Kikosi cha wapiganaji wa vita ya Majimaji wakiwa chini ya ulinzi ndani ya ngome ya Wajerumani
Area that Majimaji war extended.. tusiwabeze watu wa kusini hata siku moja ni mashujaa kweli hawakukubali kutawaliwa!
Kaburi la Chief Songea Mbano
Chief Songea Mbano .. nduna wa nduna .. Jemedari wa wangoni .. shujaa wa vita ya Majimaji
Check number 61 out of 66 Majimaji war heroes .. Mkomanile ni mwanamke na nduna yaani sub chief.
Kikosi cha wapiganaji wa vita ya Majimaji wakiwa chini ya ulinzi ndani ya ngome ya Wajerumani
Area that Majimaji war extended.. tusiwabeze watu wa kusini hata siku moja ni mashujaa kweli hawakukubali kutawaliwa!
Maria With Davis Tillya chief cameraman Compass Communications and great grandson of Chief Songea Mbano hero
Picha kwa hisani ya Maria Sarungi
1 comment:
Ahsante kwa kumbukumbu hii inabidi kweli tuwakumbuka mashujaa hawa...
Post a Comment