
Jana nimekaa ndani hadi saa 11 jioni wana sensa hawajapita...ile natoka ndani tu nimefunga mlango nikafanye mizunguko, naona Karani anaingia

Ikabidi nihesabiwe nikiwa nimesimama hapo hapo nje...na karani hakuwa na hiyana

Nikaanza kuhojiwa...nikatoa ushirikiano woteee

Alikuwa anatik kila nikimjibu swali

Hapa alikuwa ananiambia dodoso langu lina maswali 37...wapo ambao wana wanaulizwa maswali hadi 60
Kwa wale ambao hamjahesabiwa....mtahesabiwa tu, ndo maana kuna siku 7