Dereva wa dala dala akiwa mzigoni
Kivuko kikielekea upande wa pili, wananchi wametulia tuliiiii
Meli ya mizigo ikiwa inaingia bandari ya Dar
Ilitubidi kusubiri kwa muda Meli hiyo ipite ndo nasi tuendelee kuvuka upande wa pili
Tumeshavuka sasa twashuka kutoka kwenye kivuko

Babu akisubiri dala dala kituoni maeneo ya Kibada-Kigamboni
No comments:
Post a Comment