Sunday, September 16, 2012

BRIGITER ALFRED ANYAKUA TAJI LA REDD'S MISS KINONDONI 2012

  Mshindi wa shindano la Redds Miss Kinondoni Brigiter Alfred, akiwapungia mkono mashabiki walioshuhudia shindano hilo jijini Dar es Salaam jana, kulia ni mshindi wa pili Diana Hussein na mshindi wa tatu Irene David. Brigit pia anashikilia taji la Redds Miss Sinza 2012 huku Irene akishikilia taji la Miss Ubungo 2012. Pamoja na hayo Redd's Miss Kinondoni 2012 alijishindia taji la Miss Talent iliyokuwa umedhaminiwa na Perfect Lady Classic Saloon iliyopo Kinondoni jijini Dar na wamempa zawadi ya kupewa huduma kwa kipindi cha mwaka mzima
 ndani ya Saloon yao.
Akivalishwa taji lake la Redd's Miss Kinondoni 2012.
Mkurugenzi wa Perfect Lady Classic Saloon, Ester Kiama ambao ndiyo waliokuwa wamedhamini Redd's Miss Kinondoni Talent akitangaza zawadi alizompatia mrembo aliyeshinda, ambaye ni Brigiter Alfred (mrembo wa katikati).
Top 5 ya Redd's Miss Kinondoni 2012.
 Huyu ni Redd'd Miss Kinondoni 2012 aliyejinyakulia taji la kuwa Miss Mwananyamara Hospitali ambao kazi yake kubwa ni kuhamasisha kuchangia mfuko wa akina mama.

Friday, September 14, 2012

URBAN LADY Look Book: The Weekend Electic

I prefer this Look

Rock yourself on Emerald Green

NAWATAKIA IJUMAA NJEMA NA MUWE NA WEEKEND YENYE FURAHA NA UTULIVU TELE

 TABASAMU TELE ZIWAJAE NYUSONI MWENU
KURELAX NDO MPANGO MZIMA

TUONANE WAKATI MWINGINE TENA

BIBI WA MIAKA 86 ATISHA KWA MAZOEZI YA VIUNGO

WORLD'S OLDEST GYMNAST AGED 86 PERFORMS JAW-DROPPING ROUTINE ON PARALLEL BARS
HAPO SASA
WACHA WEEE
BIBI NOMA
NIMEKUKUBALI
NA HII PIA
SALUTE KWAKO BIBI
HONGERAAAAAAAAAAAAA

MAKOFI LAZIMA YAPIGWE

Thursday, September 13, 2012

WASHINDI WA REDD'S MISS KINONDONI WAZAWADIWA MAPAMBO YA MWAKA MZIMA NA PERFECT LADY CLASSIC SALOON, DAR

Mkuu wa Itifaki wa Miss Tanzania Albert Makoye akifungua mashindano ya Redd's Miss Kinondoni Talent, pembeni yake ni Ssebo ambaye ni mmoja kati ya mwanabodi wa Redd's Miss Kinondoni 2012 na alikuwa ni mshereheshaji katika shindano hilo lililofanyika katika hoteli ya JB Belmonte, iliyopo jengo la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Mashindano hayo yalidhaminiwa na Perfect Lady Classic Saloon iliyopo Kinondoni jijini Dar na wametoa zawadi kwa washindi watatu waliopatikana kwa kupewa huduma kwa kipindi cha mwaka mzima ndani ya Saloon yao. Shindano rasmi la kumsaka Redd's Miss Kinondoni linatarajiwa kufanyika Ijumaa tarehe Septemba 14, 2012 katika Ukumbi wa Cassa Complex uliopo Mikocheni, Dar.
 Mshiriki namba 6, Irene akionyesha manjonjo yake katika kucheza.
 Mshiriki namba 3, Nahma Saidi yeye aliambua kuonyesha mambo ya Pwani.
 Mshiriki namba 2, Ester Musa alionyesha kipaji cha kuimba.
 Mshiriki namba 1, akionyesha umahili wake wa kukata uno.
Mshiriki namba 4, Diana Hussein akionyesha jinsi ya kubuni vazi.
 Brigitter Alfred mshiriki namba 9 alionyesha umahili wake katika nyimbo za kihindi.

WORK OPPORTUNITY IN MUMBAI INDIA

Work Opportunity in Mumbai India

I have a client request for one of his clubs in Mumbai, India.  They require up to 5 big guys (and I emphasis the big) who must also be as black as you can find.   Sorry to be so racist with that one but I am not sure if you aware but Indians look upon really black Africans as being super humans (cant think why!!!!) so use your skin colour as a guide and go darker.  They must be able to handle themselves and a martial arts background would be useful.  I need an idea as to whether you can get them for me on the following criteria;

1.         Big guys ? 6ft plus and excellent physique ? as big and well built as you can find
2.         English language a must
3.         Ability to handle themselves within the law
4.         Martial Arts background (boxing included)
5.         Willing to work in Mumbai, India.

Client will organize work permits and visas and provide accomm

Contact in Tanzania:

Eddie Barzangy

Tel: +255 718 737 177

Email: eddiebarzangy@yahoo.co.uk

Wednesday, September 12, 2012

PHOTO OF THE DAY


Taswira Kutoka Davis Corner, Vituka Dar

Eneo la Davis Corner, Vituka jijini Dar es salaam ambalo baadhi ya wakazi wanalitumia kutupia taka kinyume cha sheria. Eneo hili litajengwa mzunguko (Round about) na kuyawezesha magari kupita katika eneo hilo na kupunguza msongamano wa magari katika eneo hilo katika mikakati inayoendelea ya kupunguza msongamano wa magari katika jiji la Dar es salaam.

Tuesday, September 11, 2012

Sylvester Stallone's Mother

BEFORE MEETS AFTER

HAYA SASA KWA WALE WAPENDAO KUMKOSOA MUNGU ALIVYOWAUMBA HASA KUJIBADILI MIONEKANO NA KUONGEZA UDONGO SEHEMU ZINGINE UONEKANE UTAKAVYO.........MAMA WA RAMBO ALIKUWA ANAONEKANA VIZURI MNO KABLA HAJAJIBADILI, WATU WANASEMA MONEY TALKS......SOMETIME ZINA-TALK SO LOUD

OLD IS GOLD: SIKU HIZI WATANZANIA TUNAPIGA SWAGGA HIZI HASA KICHWANI

Sylvester Stallone's Mother, Jackie at the 1991 Cannes Film Festival