Friday, July 27, 2012

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM

ADMISSION INTO POSTGRADUATE PROGRAMMES FOR 2012/2013
2012-7-10-17-35-22_msc ed_advert -

Pregnant shooter is in London, and she’s very pregnant

(Getty Images)
Malaysia's pregnant shooter, Nur Suryani Mohamed Taibi, has made the trip to London and will compete in next week's 10m rifle event, just one month before she's due to give birth to a baby girl. She's not the first pregnant Olympian in history, but at 34 weeks is believed to be the furthest along.
The 29-year-old qualified for the Games at the Asian Shooting Championships in January, days after finding out she was pregnant. At the time, she had hoped her health would allow her to compete in London. So far so good.

HOW TO WEAR FLORAL AT ANY AGE: Special for Rural & Urban Ladies

From pretty, ditsy prints to big, bold blooms, the spring/summer 2012 catwalk was awash with floras. Dressed up or down, how to wear this blossoming trend - whatever your age





By Barbara McMillan

LONDON 2012 OLYMPICS: Google Rocks



London 2012 Opening Ceremony

Thursday, July 26, 2012

KENYA: Smelly conductor thrown out of a matatu on Thika Road

On Tuesday - An incident involving a tout in a matatu on Thika road has left many bewildered this morning.
Angry passengers decided to throw out a tout who they claim was emitting an awful smell.
The tout in his early twenties seems to have forgotten basic hygiene in a rush to make money in the wee morning hours.
The frustrated passengers started coughing and complaining that they could barely breathe. Due to the chilly weather, the passengers refrained from opening the windows.

HAHAHAHAHA FB KUNA MAMBO.......WATANI WA JADI


KUMEKUCHA TAMASHA LA “CHAGGA DAY CULTURAL FESTIVAL 2012”


  Mkurugenzi mkuu wa Kampuni ya MyWay Entertainment, Paul Maganga (Kulia) akielezea juu ya tamasha maalum la siku ya Wachaga  lililodhaminiwa na Pepsi, litakalofanyika siku ya Jumamosi Julai 28,Viwanja vya Leaders Club, Kinondoni, ambapo pia litasindikizwa na bendi za Msondo Ngoma, Twanga Pepeta na vikundi vingine vya ngoma ya asili, (Kushoto) Ni Fredrick Mtaki, Afisamahusiano wa kampuni hiyo
BENDI  zenye ushindani mkubwa nchi za Twanga Pepeta na Msondo Ngoma zinatarajiwa kupiga shoo ya aina yake kwenye tamasha la siku ya Wachaga, (Chagga Day 2012), Julai 28, viwanja vya Leaders.
 
Akizungumza na waandishi wa habari  mapema leo ukumbi wa Udara habari Maelezo, ijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Kampuni ya MyWay Entertainment, Paul  Maganga walioandaa tamasha hilo lililoadhaminiwa na kampuni ya SBC Tanzania Limited,kupitia kinywaji cha Pepsi, alisema  siku hiyo itakua ya aina yake kwa watu mbalimbali na familia zao watakaojitokeza kufurahia kwa pamoja tamaduni za kabila hilo la Wachaga sambamba na makabila mengine yatakayoshiriki tamasha hilo.
 
“Siku hiyo ni ya pekee, kwa familia kujifunza mambo ya utamaduni  wa kabila hilo la Chaga, na makabila mengine  na burudani kutoka kwa bendi hizo za Twanga na Msondo,  pamoja na vikundi vingine vya ngoma ya asili ” alisema  Maganga
 
Pia alisema kua, kutakua na wazee wa  mila ambo watazungumzia asili la kabila la wachaga huku vyakula na vinywaji vya asili kutoka mkoa wa Kilimanjaro, Kiburu, ndafu, shiro, kitawa, macharari, ngararimo, ng’ande, kisusio, mtori, Kisusio na vingine vingi vitakuwepo siku hiyo.
Aidha, Siboka alisema  baada ya Tamasha la hilo la ‘Chaga day’, litafuatia tamasha lingine litakalofanyika Mkoa wa Kilimanjaro, Desemba 22 ambalo litapambwa na sherehe mbalimbali
 
Aidha, Maganga alisema kua, wataendelea kufanya matamasha haya kwa karibu makabila yote yaliyopo hapa nchini ilikuwezesha jamii kutambua mila zao  sambamba na kudumisha utamaduni wa Mtanzania kwa  kuwakumbusha tamaduni zao hii pia itakua ikijenga na kudumisha mahusiano baina ya  makabila mbalimbali  nchini Tanzania.
 
Pia anasema kua, watazania watakao hudhuria tamasha hilo, watapata kujua chimbuko la kuweko kwa  tamaduni zao  yaani mashujaa wa makabila yao, viongozi na machifu waliotawala jamii zao.

KUTOKA SEGERA NA MISENYI: MIKUTANO YA KUPOKEA MAONI KUHUSU KATIBA MPYA

 Wanafunzi wa shule ya Msingi Michungwani, Kata ya Segera wilaya ya Handeni mkoani Tanga wakijisomea kitabu kuhusu Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 1977 katika mkutano wa kukusanya maoni ya wananchi kuhusu Katiba mpya uliofanyika kijijini hapo hivi karibuni
 Abdallah Mohamedi (31) mkazi wa kijiji cha Michungwani, kata ya Segera, Wilaya ya Handeni mkoani Tanga akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya katika mkutano wa kukusanya maoni kijijini hapo hivi karibuni

Bi. Teodezea John, ambaye ni mlemavu, mkazi wa Kata ya Kilimikile, Wilaya ya Misenyi, mkoani Kagera akitoa maoni yake kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilipofanya mkutano wake wilayani hapo hivi karibuni
Kwa matukio zaidi Angalia Michuzi Blog

KARIBU MGENI.....NDO INAITWA HIVI