ADMISSION INTO POSTGRADUATE PROGRAMMES FOR 2012/2013
Friday, July 27, 2012
Pregnant shooter is in London, and she’s very pregnant
(Getty Images)
Malaysia's pregnant shooter, Nur Suryani Mohamed Taibi, has made the trip to London and will compete in next week's 10m rifle event, just one month before she's due to give birth to a baby girl. She's not the first pregnant Olympian in history, but at 34 weeks is believed to be the furthest along.
The 29-year-old qualified for the Games at the Asian Shooting Championships in January, days after finding out she was pregnant. At the time, she had hoped her health would allow her to compete in London. So far so good.
HOW TO WEAR FLORAL AT ANY AGE: Special for Rural & Urban Ladies
From pretty, ditsy prints to big, bold blooms, the spring/summer 2012 catwalk was awash with floras. Dressed up or down, how to wear this blossoming trend - whatever your age
By Barbara McMillan
Thursday, July 26, 2012
KENYA: Smelly conductor thrown out of a matatu on Thika Road
On Tuesday - An incident
involving a tout in a matatu on Thika road has left many bewildered this
morning.
Angry passengers decided to throw out a tout who they claim was
emitting an awful smell.
The tout in his early twenties seems to have forgotten basic
hygiene in a rush to make money in the wee morning hours.
The frustrated passengers started coughing and complaining that
they could barely breathe. Due to the chilly weather, the passengers refrained
from opening the windows.
KUMEKUCHA TAMASHA LA “CHAGGA DAY CULTURAL FESTIVAL 2012”
Mkurugenzi mkuu wa Kampuni ya MyWay Entertainment, Paul Maganga (Kulia) akielezea juu ya tamasha maalum la siku ya Wachaga lililodhaminiwa na Pepsi, litakalofanyika siku ya Jumamosi Julai 28,Viwanja vya Leaders Club, Kinondoni, ambapo pia litasindikizwa na bendi za Msondo Ngoma, Twanga Pepeta na vikundi vingine vya ngoma ya asili, (Kushoto) Ni Fredrick Mtaki, Afisamahusiano wa kampuni hiyo
BENDI zenye ushindani
mkubwa nchi za Twanga Pepeta na Msondo Ngoma zinatarajiwa kupiga shoo ya aina
yake kwenye tamasha la siku ya Wachaga, (Chagga Day 2012), Julai 28, viwanja
vya Leaders.
Akizungumza na waandishi wa habari mapema leo ukumbi wa Udara habari Maelezo, ijini
Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Kampuni ya MyWay Entertainment, Paul Maganga walioandaa tamasha hilo
lililoadhaminiwa na kampuni ya SBC Tanzania Limited,kupitia kinywaji cha Pepsi,
alisema siku hiyo itakua ya aina yake
kwa watu mbalimbali na familia zao watakaojitokeza kufurahia kwa pamoja
tamaduni za kabila hilo la Wachaga sambamba na makabila mengine yatakayoshiriki
tamasha hilo.
“Siku hiyo ni ya pekee, kwa familia kujifunza mambo ya
utamaduni wa kabila hilo la Chaga, na
makabila mengine na burudani kutoka kwa
bendi hizo za Twanga na Msondo, pamoja
na vikundi vingine vya ngoma ya asili ” alisema Maganga
Pia alisema kua, kutakua na wazee wa mila ambo watazungumzia asili la kabila la
wachaga huku vyakula na vinywaji vya asili kutoka mkoa wa Kilimanjaro, Kiburu,
ndafu, shiro, kitawa, macharari, ngararimo, ng’ande, kisusio, mtori, Kisusio na
vingine vingi vitakuwepo siku hiyo.
Aidha, Siboka alisema
baada ya Tamasha la hilo la ‘Chaga day’, litafuatia tamasha lingine
litakalofanyika Mkoa wa Kilimanjaro, Desemba 22 ambalo litapambwa na sherehe
mbalimbali
Aidha, Maganga alisema kua, wataendelea kufanya matamasha
haya kwa karibu makabila yote yaliyopo hapa nchini ilikuwezesha jamii kutambua
mila zao sambamba na kudumisha utamaduni
wa Mtanzania kwa kuwakumbusha tamaduni
zao hii pia itakua ikijenga na kudumisha mahusiano baina ya makabila mbalimbali nchini Tanzania.
Pia anasema kua, watazania watakao hudhuria tamasha hilo,
watapata kujua chimbuko la kuweko kwa
tamaduni zao yaani mashujaa wa
makabila yao, viongozi na machifu waliotawala jamii zao.
KUTOKA SEGERA NA MISENYI: MIKUTANO YA KUPOKEA MAONI KUHUSU KATIBA MPYA
Wanafunzi wa shule ya Msingi Michungwani, Kata ya Segera wilaya ya Handeni mkoani Tanga wakijisomea kitabu kuhusu Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 1977 katika mkutano wa kukusanya maoni ya wananchi kuhusu Katiba mpya uliofanyika kijijini hapo hivi karibuni
Abdallah Mohamedi (31) mkazi wa kijiji cha Michungwani, kata ya Segera, Wilaya ya Handeni mkoani Tanga akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya katika mkutano wa kukusanya maoni kijijini hapo hivi karibuni
Bi. Teodezea John, ambaye ni mlemavu, mkazi wa Kata ya Kilimikile, Wilaya ya Misenyi, mkoani Kagera akitoa maoni yake kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilipofanya mkutano wake wilayani hapo hivi karibuni
Kwa matukio zaidi Angalia Michuzi Blog
Subscribe to:
Posts (Atom)