Thursday, July 19, 2012

VIWANJA VYA MAISARA LEO BAADA YA AJALI YA MELI YA MV. SKAGIT ILIYOTOKEA JANA

 Baadhi ya wananchi waliozitambua maiti zao wakisaidiwa na askari
 Baadhi ya maiti za watoto, inasikitisha sana jamani
Baadhi ya wageni kutoka nchi mbali mbali wakiwa katika viwanja hivyo ili kujua ndugu zao na kupata utaratibu mwingine

HADI MCHANA HUU MAITI ZILIZOPATIKANA NI 39 KWA MUJIBU WA KAMANDA WA POLISI ZANZIBAR

POLE NYINGI SANA KWA WAFIWA, MUNGU AZIDI KUTUPA UJASIRI KUKABILIANA NA HALI HII

KWA MATUKIO ZAIDI TEMBELEA ISSA MICHUZI BLOG

KILA MARA JAMBO LIKITOKEA LIWE ZURI AU BAYA TWAKIMBILIA TUKISEMA NI MPANGO WA MUNGU, LAKINI IKUMBUKWE MUNGU AMETUPATIA MAMLAKA YA KUFANYA VITU KWA AKILI/UTASHI WETU...INA MAANA HATA TUKIFANYA UZEMBE LAWAMA TUZIPELEKE KWA MUNGU?????

JE! BAADA YA AJALI YA MELI MV. SKAGIT KUTOKEA UNADHANI LAWAMA ZIENDE KWA NANI

  
pollcode.com free polls 

Is YOUR child sending sex texts at school?......11 per cent of teenagers aged 13 to 16 have texted nude photographs of themselves

It’s terrifyingly common – as Sarah found when her 13-year-old was bullied into texting a topless photo of herself. Here they reveal the devastating consequences...
 Trauma: Sophie, with her mother Sarah, became a laughing stock at school after a boy circulated a topless picture she had sent him


As she sat down to her homework in her bedroom, Sophie heard the familiar chime of her mobile phone. Among the usual messages from friends, there was yet another text from a 13-year-old boy in her class. It was the tenth from him that day, each one making the same lewd and disturbing demand: ‘Sophie, send me a topless picture. You know you want to. All I want is to see you naked.’ 
Shockingly, such requests were not unusual for Sophie, 13, a naturally pretty girl with delicate features and shoulder-length blonde hair. So far, she had always ignored them, or said a very firm ‘no’. 
But Sophie, from Ipswich, Suffolk, admits she found this particular boy’s persistence flattering — and at the back of her mind she knew it was the more attractive girls who were asked by boys to send them ‘special’ pictures. So, baby-faced Sophie peeled off her top, sat on her bed and pointed the phone at her budding chest.

Think before you text: Sending sex texts is now rife but teens don't always consider the consequences (posed by model)


By the next day, it seemed there was virtually no one in Year 8 of her secondary school (which, incidentally, is one of the best in Ipswich) who hadn’t seen it. 
A year on, Sophie, now 14, her mother Sarah Beale and stepfather Steve are still living with the impact of that foolish spur-of-the-moment decision. While Sophie has had to deal with being ostracised by girls at school and become a laughing stock among the boys, her parents had to overcome their shock at her behaviour to be able to support her as she approaches her GCSEs.
Their story offers a chilling insight into the secret world of today’s technology-obsessed teenagers, who seem not to realise the long-term implications of having indecent pictures of themselves circulating in cyberspace.
It also shows how even children from the most middle-class and respectable families can find themselves sucked in to a disturbing sexual landscape in which disembodied pictures of body parts are traded in the playground as freely as bubblegum cards.
'He had sent her a full frontal picture of himself and she had sent him a topless picture back. He told her he would delete her picture. But once again he circulated it to his mates'

TAARIFA YA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR KUHUSU KUZAMA KWA BOTI YA MV STAR GET


TAARIFA YA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR KUHUSU KUZAMA KWA BOTI YA MV STAR GET -

KUZAMA KWA MELI YA MV SKAGIT - POLENI WAFIWA, POLENI TANZANIA


Taswira Mbalimbali Kutoka Eneo la Tukio ilipozama Meli ya MV Skagit ikitokea Dar kuelekea Zanzibar.

KUTOKA TWEETER DOT COM - NIMEZIPENDA HASA

TWEETS

MATCHING GUY / MMACHINGA

Frank Moralez sells cold beverages to motorists in Philadelphia. (Joseph Kaczmarek/AP)

Wednesday, July 18, 2012

SHERIA HUWA INAVUNJWA NA MTUNGA/MSIMAMIA SHERIA PIA...

Hivi kwani askari wao hawatakiwi kuvaa Kofia maalumu kwaajili ya usalama wa vichwa ukiwa unaendesha piki piki?????? hebu nijuzeni wapendwa.....nilimnasa mitaa ya Salenda.....nilitamani nimsimamishe nimuhoji hilo swali